KAIZER CHIEFS YAPATA KOCHA MPYA, NAI IMEBUMA

KLABU ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini imemtangaza rasmi Molefi Ntseki kuwa ndiye kocha wao mkuu kwenye timu hiyo. Kutokana na hatua hiyo, ni wazi kwamba klabu hiyo ya Kaizer Chiefs imeamua kuachanana na mpango wake wa kumpa kazi Nassredine Nabi ambaye alikuwa kocha mkuu wa Klabu ya Yanga. Nabi alikuwa ndani ya Yanga kwa…

Read More

YANGA WANA JAMBO KUBWA LA MTIKISIKO

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa unakuja mtikisiko kwenye suala la usajili kutokana na mipango makini waliyonayo. Chini ya Kocha Mkuu Nasreddine Nabi msimu wa 2022/23 Yanga ilikomba mataji yote ya ndani ikiwa ni Ngao ya Jamii, Ligi Kuu Bara na Azam Sports Federation. Katika anga la kimataifa Yanga safari yao kwenye Kombe la Shirikisho…

Read More

MVUNJA PROTECTA BADO YUPO SANA AZAM

MWAMBA Daniel Amoah beki wakuaminika ndani ya kikosi cha Azam FC bado yupo ndani ya Azam FC baada ya kuongeza dili la mwaka mmoja. Nyota huyo anaingia kwenye orodha ya waliomtungua Djigui Diarra, ‘Screen Protecta’ kipa namba moja wa Yanga kwenye Mzizima Dabi, Uwanja wa Mkapa ubao uliposoma Azam FC 2-2 Yanga. Amoah ni mechi…

Read More