YANGA YAMKOMALIA MTAMBO WA MABAO

WAKATI akiwa anatajwa kutaka kuondoka ndani ya kikosi cha Yanga mabosi wamemkomalia nyota wao mwenye mabao 24 katika mashindano ya Kombe la Shirikisho na Ligi Kuu Bara. Ni Fiston Mayele mwenye mabao 17 kwenye ligi akiwa na mabao 7 kwenye Kombe la Shirikisho Afrika na kote kasepa na kiatu cha mfungaji bora nyota huyo wa…

Read More

KIRAKA WA KAZI KUTOKA MSIMBAZI MALI YA NAMUNGO FC

NAMUNGO FC imemtambulisha rasmi nyota wa zamani wa Simba, Erasto Nyoni kuwa mali yao kwa msimu wa 2023/24. Nyoni ni kiraka anayefiti kila eneo ambalo atapangwa kucheza na benchi la ufundi iwe kwenye eneo la ukabaji, ulinzi na ushambuliaji uwezo wake unahamia Namungo. Uwezo mkubwa ni kutumia mguu ule wa kulia ambao umekuwa ukifanya kazi…

Read More

WINGA KUTOKA JANGWANI MIKONONI MWA DODOMA JIJI

BAADA ya kupewa mkono wa asante ndani ya kikosi cha Yanga winga Dickson Ambundo kuna uwezekano mkubwa akarejea katika kikosi cha Dodoma Jiji. Ambundo anaingia kwenye rekodi ya kuwa mzawa aliyeingia kwenye orodha ya wachezaji waliofika katika hatua ya fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika na kugotea nafasi ya pili. Pia akiwa Yanga ni miongoni…

Read More

USAJILI SIMBA WAVUJA

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbrazili, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amesema jumla ya wachezaji watatu tayari usajili wao umekamilika na kilichobaki ni kuwatambulisha. Timu hiyo imeshuhudia ubingwa ukienda Yanga iliyokamilisha msimu ikiwa namba moja na pointi 78. Yanga ipo kwenye mchakato . Wachezaji wanaotajwa kumalizana na Simba hadi hivi sasa kwa kuwapa mikataba ya miaka miwili ni…

Read More

HAWA HAPA WANAOTAKIWA MKUTANO MKUU YANGA

IKIWA imekamilisha msimu wa 2022/23 na mataji mkononi kesho Juni 24 Wanachama wa Yanga wanatarajiwa kufanya mkutano mkuu. Yanga imetwaa mataji yote iliyokuwa inapambania kwenye ardhi ya Bongo ikiwa ni pamoja na Ngao ya Jamii, ligi na Kombe la Azam Sports Federation. Kwenye anga la kimataifa Yanga katika Kombe la Shirikisho Afrika imegotea nafasi ya…

Read More

LEGEND MKUDE, NYONI THANK YOU HAZIWATOSHI

LEGEND Jonas Mkude anaingia katika orodha ya Thank You huku akinyimwa maua yake. Amevuja jasho kuipambania nembo ya Simba akiwa ni miongoni mwa nyota waliocheza mechi nyingi dhidi ya watani zao wa jadi Yanga hili sio jambo dogo ujue. Kupata nafasi kikosi cha kwanza mbele ya watani wa jadi Yanga katika kikosi cha Simba inaonyesha…

Read More