>

BEKI WA KAZI YANGA KUKUNJA MKWANJA MREFU

BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga ambao ni mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2022/23 Ibrahim Hamad ataboreshewa mshahara pamoja na mkataba wake. Beki huyo bado yupo ndani ya kikosi cha Yanga baada ya kusaini dili la miaka mitatu ameonyesha uwezo mkubwa kwenye mechi za ushindani kitaifa na kimataifa. Ni mwepesi kwenye…

Read More

SIMBA KUSHUSHA MITAMBO YA KAZI

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa utaingia sokoni kuleta mtambo wa mabao utakaoongeza kasi kwenye idara hiyo kwa msimu wa 2023/24. Timu hiyo imegotea nafasi ya pili kwenye msimamo na vinara ni Yanga ambao wametwaa ubingwa wa ligi. Ikumbukwe kwamba Yanga walikuwa wanatetea taji hilo walilotwaa msimu uliopita 2021/22. Ipo wazi kuwa Kocha Mkuu wa…

Read More

BILIONI 2.8 ZAMPELEKA MAYELE UARABUNI

MABINGWA mara mbili mfululizo wa Ligi Kuu Bara, Yanga SC, wanaweza kupata wakati mgumu kukataa ofa ya Rand milioni 22 (Sawa na Sh 2,806,936,000) kwa ajili ya kumuachia mshambuliaji wao, Mkongomani, Fiston Mayele kujiunga na Sepahan SC ya nchini Iran. Mayele amekuwa katika kiwango bora kwa misimu miwili aliyoitumikia Yanga ambapo msimu wa 2022/23, ametangazwa…

Read More

TAIFA STARS KAZI INAENDELEA

MBWANA Samatta nyota anayepambania nembo ya Tanzania katika Klabu ya Genk ya Ubelgiji ni miongoni mwa walioanza mazoezi na timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars. Timu hiyo chini ya Kocha Mkuu, Adel Amrouche imeanza maandalizi kuelekea mchezo wa kuwania kufuzu mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, (AFCON). Ni Jumapili Juni 18 mchezo huo…

Read More

HAPA NDIPO AZAM ITAANZIA KUFANYA KAZI

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa utafanya mchakato wa kuboresha benchi la ufundi kwa kuanza na kumleta kocha mpya wa makipa. Azam FC imeshuhudia mabingwa wa msimu wa 2022/23 kwenye ligi wakiwa ni Yanga chini ya Kocha Mkuu Nasreddine Nabi. Kwenye mechi ambazo walikutana na Yanga ndani ya ligi walipata sare moja na kupoteza…

Read More