YANGA KAMILI KUWAVAA WAARABU KIMATAIFA

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa watafanya kazi kubwa kwenye mchezo dhidi ya USM Alger kwenye fainali ya pili ugenini. Waarabu hao wa Algeria wanafaida ya mabao mawili waliyopata ugenini mbele ya Yanga huku mtupiaji wa bao la Yanga akiwa ni Fiston Mayele. Katika mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa, ubao…

Read More

KIVUMBI FAINALI FA MANCHESTER UNITED V CITY

MENEJA Erik ten Hag amesema Manchester United hawana uwezekano wa kuwa na Antony kwenye fainali ya Kombe la FA Jumamosi dhidi ya Man City. Itakuwa kivumbi watakapokutana kwenye mchezo huo ambao unasubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki duniani. Ten Hag alikuwa na matumaini zaidi kuhusu nafasi ya mshambuliaji wa Brazil baada ya kupata jeraha kwenye…

Read More

SIMBA WAANZA KAZI KUKAMILISHA MECHI MBILI

MECHI mbili zimebaki kwa Simba kukamilisha ndani ya msimu wa 2022/23 ikiwa ni dakika 180. Simba ipo nafasi ya pili kwenye msimamo na vinara wa ligi ni Yanga ambao wametwaa ubingwa wa ligi msimu huu. Ikumbukwe kwamba Yanga inaiwakilisha Tanzania kwenye anga za kimataifa ikiwa ipo hatua ya fainali Kombe la Shirikisho Afrika na itapambana…

Read More

MUDA WA YANGA KUREJESHA TABASAMU KWA WANANCHI

WAKATI mwingine wa kuonyesha uimara kwenye mashindano makubwa kwa wawakilishi wa Tanzania Yanga. Juni Mosi msafara wa Yanga uliwasili salama Algeria kwa kutumia ndege ya Air Tanzania ahadi iliyoahidiwa na Rais Samia Suluhu Hassan ikiwa imeshatimizwa. Mchezo wa mwisho kwenye fainali dhidi ya USM Alger una picha ya tabasamu na maumivu kwa Watanzania kiujumla. Kinachowezekana…

Read More