MAKIPA BONGO MAKOSA MUHIMU KUFANYIA KAZI

MAKIPA wengi wamekuwa wakiingia kwenye lawama kutokana na kufungwa mabao ambayo yanaleta maswali baada ya mchezo husika. Hii imekuwa ikiwakumba makipa wote wale wageni na hawa makipa wazawa nao wamekuwa kwenye kasumba hii jambo ambalo halipendezi. Ukweli upo wazi kwamba mpira ni mchezo wa makosa lakini yanapozidi ni muhimu kufanyia kazi na kila mmoja kutimiza…

Read More

DUBE MWAMBA KWELIKWELI UJUE

MWAMBA huyu hapa ukimuona tu uwanjani lazima kipa wa timu pinzani ajue leo kazi ninayo. Anaitwa Prince Dube mpeleka maumivu kwa Simba kwenye mechi zote mbili za Ligi Kuu Bara akiwa anashikilia rekodi ya kufunga bao la mapema zaidi mbele ya Simba. Mzunguko wa kwanza ubao wa Uwanja wa Mkapa uliposoma Azam 1-0 Simba mtungaji…

Read More

WAKALI WAKIWA LANGONI HAWA HAPA

MIONGONI mwa makipa ambao hawajafungwa kwenye mechi zaidi ya tano jina la Said Kipao ambaye yupo chini ya Kocha Mkuu, Mecky Maxime jina lake pia. Anakumbuka alikuwa langoni alitunguliwa mabao matano na Yanga kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Kipa huyo wa Kagera Sugar hajafungwa kwenye mechi sita ndani ya Ligi Kuu…

Read More