KAGERA SUGAR KUREJEA WAKIWA IMARA

MECKY Maxime, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar amesema kuwa waterejea kwenye mechi zilizobaki wakiwa imara kwa kupata matokeo chanya. Timu hiyo haina bahati dhidi ya Yanga msimu huu wa 2022/23 kwa kufungwa nje ndani mchezo wa kwanza ilitunguliwa bao 0-1 na ule mzunguko wa pili ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma Yanga 5-0 Kagera…

Read More

NADO NI MKALI AKITOKEA BENCHI

NYOTA wa Azam FC, Idd Suleiman, ‘Nado’ ni mkali wa kucheka na nyavu kwenye mechi za ligi akitokea benchi. Nyota huyo rekodi zinaonyesha kuwa ameanza kikosi cha kwanza mechi nne ilikuwa dhidi ya Ruvu Shooting,Dodoma Jiji,Mbeya City na KMC. Kwenye mchezo dhidi ya Coastal Union,Novemba 27,2022 ubao wa Azam Complex uliposoma Azam FC 3-2 Coastal…

Read More

ALLY SALIM BADO SANA KUWA BORA

ALLY Salim kipa namba tatu wa Simba mchezo wake wa kwanza akiwa langoni dhidi ya Yanga amefanikiwa kukamilisha dakika 90 bila kufungwa. Bado anajitafuta kutokana na makosa mengi ya kiufundi hasa kwenye kuokoa na kutema hapo ndipo panamfanya awe kwenye kazi ngumu ya kufanya. Ally amesababisha kona nne kwenye mchezo dhidi ya Yanga kutokana na…

Read More

SIMBA YAWATUNGUA YANGA KWA MKAPA

SIMBA imepata ushindi mbele ya Yanga kwenye mchezo wa Kariakoo ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara. Mabao ya Simba yamefungwa na Henock Inonga dakika ya kwanza na lile la pili Kibu Dennis dakika ya 33. Yanga wanapiga pasi nyingi kuliskama lango la Simba huku wakifanya majaribio kupitia kwa Fiston Mayele. Kipindi cha pili Yanga…

Read More

JULIO ATOA NENO LA MATUMAINI KMC

KOCHA Mkuu wa KMC,Jamhuri Khiwelu, ‘Julio’ amesema kuwa ana matumaini makubwa ya kuongeza ari kwenye mechi ambazo zimebaki. Julio amechukua mikoba ya Hitimana Thiery ambaye alifikia makubaliano ya kuvunja mkataba na timu hiyo kutokana na mwendo mbovu. Mchezo wa mwisho kwa Hitimana kukaa benchi alishuhudia ubao ukisoma KMC 0-2 Geita Gold. “KMC ni timu nzuri…

Read More

SIMBA 2-0 YANGA

MCHEZO wa Ligi Kuu Bara, Uwanja wa Mkapa ni Kariakoo Dabi Ubao unasoma Simba 2-0 Yanga, goal limepachikwa na  Henock Inonga dakika ya kwanza na lile la pili Kibu Dennis kapachika dakika ya 33. Mwamuzi wa kati ni Jonesia Rukya ambaye anafanya kazi ya kutafsri sheria 17 za mpira na mashabiki wamejitokeza kwa wingi.

Read More

YANGA UKUTA CHUMA, SIMBA USHAMBULIAJI MATATA

WAKIWA wamecheza mechi 25 ambazo ni dakika 2,250 watani wa jadi Simba na Yanga kila mmoja kajijengea ufalme wake katika eneo lake maalumu. Leo Aprili 16,Uwanja wa Mkapa utashuhudia kila timu ikipambania ufalme wake kwenye upande wa ushambuliaji pamoja na ulinzi ndani ya dakika 90. Simba uimara wao upo kwenye safu ya ushambuliaji huku makali…

Read More

NABI AWAKIMBIZA KINONOMA SIMBA

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amemkimbiza kinomanoma Roberto Oliveira raia wa Brazil kwenye upande wa kusepa na pointi tatu muhimu ndani ya dakika 450. Katika mechi tano za hivi karibuni Yanga haikuwa na namna ilisepa na pointi zote 15 ilizokuwa inasaka huku Oliveira akikwama kufanikisha jambo hilo. Simba kwenye msako wa pointi 15 imegotea…

Read More

SIMBA:NJOONI MUMUONE CHAMA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga unaotarajiwa kuchezwa leo Uwanja wa Mkapa watamuona Clatous Chama waliyemzoea kwenye mechi za kimataifa. Chama amekuwa akipeta kwenye mechi za Ligi ya Mabingwa akiwa na hat trick moja dhidi ya Horoya alipofunga mabao matatu lakini hajawahi kuwatungua watani zao wa…

Read More

BEKI LA KAZI LIPOLIPO SANA YANGA

MZAWA Dickosn Job beki wa kazi ngumu bado yupo ndani ya kikosi cha Yanga baada ya kuongeza dili jipya la kuendelea kuitumikia timu hiyo. Awali kulikuwa na mvutano mkubwa kwenye upande wa maslahi jambo lililofanya asubiri kwanza kusaini mkataba mpya. Alikuwa anatajwa kuingia rada za mabosi wa Dar, Azam FC ambao walikuwa wanahitaji saini yake….

Read More

HUYU HAPA MWAMUZI MECHI YA SIMBA V YANGA

JONESIA Rukya ametangazwa kuwa mwamuzi wa kati mchezo wa Ligi Kuu Bara Kati ya Simba v Yanga unaotarajiwa kuchezwa kesho Aprili 16, Uwanja wa Mkapa. Huo ni mchezo wa mzunguko wa pili unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa Kwa timu zote mbili kusaka ushindi. Jonesia kutoka Kagera atashirikiana na Mohamed Mkono ambaye atakuwa line 1, Janeth…

Read More