April 2023
HALI NI NGUMU KWELIKWELI TIMU ZIPAMBANE
KAZI ni ngumu wa kweli kwa sasa kutokana na ligi kuwa karibu na mwisho huku kila timu ikizidi kupambana kusaka ushndi ndani ya dakika 90. Hakika mwendelezo wa baadhi ya timu kwenye uwanja sio mzuri kutokana na matokeo ambayo wanayapata kuwa hayana a furaha kwao. Licha ya hayo kutokea ni muhimu kuzidi kuwa na mipango…
IHEFU FUPA GUMU KWA SIMBA
KLABU ya Ihefu yenye maskani yake Mbeya ndani ya dakika 270 katika mechi tatu tofauti imekwama kusepa na ushindi mbele ya Simba. Ilikuwa katika mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Mkapa ambapo ubao ulisoma Simba 1-0 Ihefu katika mchezo wa mzunguko wa pili ubao ulisoma Ihefu 2-0 Simba Uwanja wa Highland Estate. Katika msako wa…
VIDEO;MO DEWJI AFUNGUKIA ISHU YA KUGOMEA BILIONI
MO Dewji afungukia ishu ya kugomea bilioni Simba
KARIAKOO DABI INAHITAJI UMAKINI KWA WOTE
WIKIENDI hii shughuli zote za michezo zitasimama kupisha dakika tisini za machozi, jasho na damu ambapo wababe wa soka la Tanzania Simba na Yanga watashuka dimbani kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara mchezo ambao umebeba mambo mengi kuanzia ndani na nje ya uwanja. Ni mchezo ambao umebeba historia kubwa kwa watani hawa ambapo ni bora timu ikose…
KISA NDEGE MASTAA SIMBA WAGOMEA MECHI
KISA ndege mastaa Simba wagomea mechi, bado kuna swali kwa Aziz Ki?
YANGA YASHUSHA 5 G
HUU ni ushindi mkubwa kwa Yanga kwa msimu wa 2022/23 dhidi ya Kagera Sugar wakisepa na pointi tatu mazima. Ubao wa Uwanja wa Azam Complex umesoma Yanga 5-0 Kagera Sugar baada ya dakika 90 kukamilika. Aziz KI kasepa na mpira wake kwa kuwa amefunga mabao matatu, mawili kwa penalti dakika ya 43 na 90 huku…
YANGA 2-0 KAGERA SUGAR
UBAO wa Azam Complex unasoma Yanga 2-0 Kagera Sugar ikiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara. Yanga wamepachika mabao hayo kupitia kwa kiungo mshambuliaji Aziz KI ambaye amekuwa kwenye ubora wake. Lile bao la kwanza ni dakika ya 43 baada ya Fiston Mayele kuchezewa faulo na llle la pili shuti akiwa nje ya 18 dakika…
KITAWALA ROBO FAINALI YA LIGI YA MABINGWA KUTOKA MERIDIANBET LEO NA KESHO
Hatua ya Robo fainali ya UCL itaanza leo tena kwenye viwanja tofauti Ulaya, ni mechi mbili Man City vs Bayern Munich na Benfica Vs Inter Milan. Meridianbet inakuhakikishia unapata Odds kubwa na machaguo Zaidi ya 1000+ Tembelea www.meridianbet.co.tz kubashiri soka na kucheza kasino ya mtandaoni. Odds kubwa za Jumanne ya Mabingwa Ni vita vya mbinu…
ALLY NYOTA WA MCHEZAO, ULINZI TATIZO SIMBA
KWENYE mchezo dhidi ya Ihefu mchezaji bora kwa upande wa Simba alikuwa ni Ally Salim na hii inatokana na makosa ya safu ya ulinzi ya Simba yaliyokuwa yakifanywa kila dakika. Salim ikiwa ni mchezo wake wa kwanza kayeyusha dakika 90 bila kutunguliwa akiokoa hatari ngumu ikiwa ni dakika ya 5,6,10,15 zote kutoka kwa washambuliaji wa…
YANGA YAIPASUA KICHWA SIMBA
Yanga yaipasua kichwa Simba, Yanga yabadilishiwa uwanja wa mechi CAF ñdani ya Spoti Xtra Jumanne
USHINDI WA TSH MIL 26 WAMFANYA APAGAWE
Ilikuwa ni kama ndoto iliyootwa usiku na mara ghafla inageuka kweli, kutoka kulala maskini na kuamka Tajiri mwenye mamilioni ndani, hii sio hadithi ya soga ni simulizi ya kweli ya kijana aliyeweka mtaji wad au la Elfu 20 na kupata faida ya Tsh Mil 26. Utajiuliza ilikuaje yakawezekana ni biashara gani aliifanya ikampatia faida kubwa…
VIDEO:MAYELE AFUNGUKIA ALICHOELEKEZWA NA MWALIMU
MAYELE afunguka alichoelekezwa na mwalimu kuwatungua Geita Gold na Yanga kutinga hatua ya nusu fainali
JEAN BALEKE AWALIZA IHEFU, ALLY SALIM MIKONO MIA
LICHA ya Ihefu kuwa bora kwenye mchezo wa leo mbele ya Simba kwenye upande wa umiliki wamekwama kusepa na pointi tatu. Dakika 90 zimekamilika ubao wa Uwanja wa Highland Estate unasoma Ihefu 0-2 Simba. Mabao yote mawili yamefungwa na Jean Baleke kipindi cha pili katika dakika za lala salama ilikuwa dakika ya 83 na 86….
MIAMBA HII IMEKIMBIZA KINOMA KIMATAIFA
MIAMBA wawili wazawa, Mudhathir Yahya na Farid Mussa wamefunga hatua za makundi kwenye Kombe la Shirikisho Afrika wakiwa na rekodi ya kila mmoja kuwatungua TP Mazembe. Hawa ni wazawa wawili ambao wametupia mabao kwenye hatua ya makundi wakati Yanga ikitinga hatua ya robo fainali. Nyota wote wameitungua TP Mazembe ambapo wa wanza kufunga alikuwa ni…