SIMBA YATINGA NUSU FAINALI KWA 5G

SIMBA inatinga hatua ya nusu fainali Azam Sports Federation kwa ushindi wa 5-1 Ihefu. Ni mchezo ambao umechezwa Uwanja wa Azam Complex huku ukishuhudia matumizi makubwa ya nguvu kwa wachezaji wa pande zote mbili. Mabao ya Simba yamepachikwa na Jean Baleke ambaye ametupia mabao matatu kwenye mchezo wa leo. Saido Ntibanzokiza katupia bao moja kipindi…

Read More

SIMBA 4-0 IHEFU

UWANJA wa Azam Complex ubao unasoma Simba 4-0 Ihefu ikiwa ni mchezo wa hatua ya robo fainali Azam Sports Federation. Mabao ya Simba ymepachikwa na Jean Baleke ambaye ametupia mabao matatu kwenye mchezo wa leo. Bao moja limefungwa na Saido Ntibanzokiza kipindi cha kwanza. Ngoma ilianza na Baleke dakika ya 2,15 na 27 huku lile…

Read More

AZAM FC WANAWATAKA SIMBA NUSU FAINALI

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kuwa kwenye hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho inahitaji kucheza na Simba. Aprli 3 Azam FC ilishinda mabao 2-0 dhidi ya Mtibwa Sugar na kukata tiketi ya kutinga hatua ya nusu fainali inamsubiri mshindi kati ya Simba na Ihefu icheze naye hatua ya nusu fainali. Ofisa Habari…

Read More

SIMBA KUWAKABILI IHEFU KWA TAHADHARI

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa utawakabili wapinzani wao Ihefu kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali kwa tahadhari kubwa ili kupata matokeo mazuri. Simba inatarajiwa kutupa kete yake leo mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex mshindi wa mchezo atakutana na Azam FC hatua ya nusu fainali. Azam FC iliibuka na ushindi wa mabao…

Read More

YANGA:HATUNA MASHAKA KIMATAIFA, TUPO TAYARI

ALI Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amebainisha kuwa hawana mashaka na hatua ya robo fainali waliyofikia zaidi ni hesabu kwenye mechi za hatua hiyo kupata matokeo chanya. Yanga imakamilisha kundi D ikiwa ni namba moja kibindoni ilikusanya pointi 13 huku safu yake ya ushambuliaji ikiwa imetupia mabao 9. Inakibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Rivers…

Read More

BALEKE HAKAMATIKI, AMKALISHA MUSONDA

USAJILI wa Simba kwa mshambuliaji Mkongomani, Jean Baleke umeonekana kuwa bora zaidi ya straika wa Yanga, Mzambia, Kennedy Musonda. Hiyo imetokana na kasi na ubora wake wa kufunga mabao tangu Mkongomani huyo ajiunge na Simba katika usajili wa dirisha dogo kama ilivyo kwa Musonda. Usajili wa Baleke ulikuwa ukibezwa kutokana na kujiunga na timu hiyo…

Read More

KINZUMBI AIWAHI KAMBI YANGA

WINGA wa TP Mazembe ya DR Congo, Phillipe Kinzumbi, mwishoni mwa mwezi huu anatarajiwa kutua nchini tayari kwa kuingia kambini Yanga. Nyota huyo ni kati ya wachezaji walio katika mipango ya kusajiliwa na Yanga kwa ajili ya msimu ujao ambapo wikiendi iliyopita alipewa mkataba wa awali. Usajili wa Kinzumbi ni chaguo la Kocha Mkuu wa…

Read More

YANGA YASOGEZEWA UBINGWA

LICHA ya kikosi cha Yanga kutinga kwa mara ya kwanza hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, lakini bado timu hiyo imepewa nafasi ya kulibebe taji hilo msimu huu.   Yanga imeshafuzu hatua ya robo fainali baada ya kuongoza Kundi D kwa kukusanya pointi 13, huku jana Jumatano droo ya hatua ya robo…

Read More