>

KOCHA SIMBA ANAAMINI VIWANGO VINAZIDI KUPANDA

KOCHA Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira amesema kuwa maendeleo ya wachezaji wake pamoja na viwango vyao vinazidi kuwa imara kila siku. Kocha huyo raia wa Brazil amebainisha kuwa anafurahishwa na uwezo wa kila mchezaji kwa namna anavyojituma kwenye kikosi. Ijumaa wachezaji wa Simba walianza mazoezi kwa ajili ya mchezo wao ujao wa Ligi ya Mabingwa…

Read More

MASTAA AZAM FC WAPEWA ONYO

KALI Ongala, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa amewaambia wachezaji wote wa timu hiyo ni lazima wajitafakari kutokana na matokeo wanayopata na kuonyesha kwa vitendo. Timu hiyo mchezo wake uliopita ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Highland ukisoma Ihefu 1-0 Azam FC jambo lililowafanya waache pointi tatu mazima ugenini. Imetolewa kwenye mwendo wa kuwania ubingwa…

Read More

HAALAND NI MASHINE YA MABAO HUKO

MSHAMBULIAJI wa Manchester City, Erling Haaland yuko mbioni kufuta kabisa rekodi za ufungaji za Cristiano Ronaldo na Lionel Messi katika Ligi ya Mabingwa Ulaya. Na hivi karibuni anaweza kumpita mpinzani wake mkuu kwa sasa, Kylian Mbappe katika orodha ya wafungaji bora wa muda wote. Haaland amekuwa mchezaji wa tatu kufunga mabao matano kwenye mechi moja…

Read More

ANGA LA KIMATAIFA SIMBA NA YANGA ZATESA KWA MKAPA

KWENYE anga la kimataifa wawakilishi wa Tanzania Simba katika Ligi ya Mabingwa Afrika na Yanga kwenye Kombe la Shirikisho wamefanya kweli kwa kukusanya pointi za kutosha Uwanja wa Mkapa. Yanga wamekimbiza kwenye kusepa na pointi ambazo ni 9 wakiwa hawajaacha hata moja katika mechi walizocheza Uwanja wa Mkapa huku Simba ikisepa na pointi sita na…

Read More

MSAKO WA VIPAJI UWE NA MWENDELEZO

MWENDELEZO mzuri kwenye uwekezaji kwa vijana unahitajika kuwa wa vitendo kwa kila timu na sio kuishia kupiga picha na porojo ambazo zinaishi kila siku. Ipo wazi kwa sasa vijana wengi wanaopewa nafasi kikosi cha kwanza kwenye timu za wakubwa wanahesibaki hasa ukiziweka kando Azam FC, Mtibwa Sugar, Ihefu na Kagera Sugar. Kuna timu ni ngumu…

Read More

MAYELE AWACHIMBA BITI ZITO TP MAZEMBE

MSHAMBULIAJI namba moja kwenye ligi akiwa na mabao 15 huku kwenye Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya makundi akiwa na mabao matatu, Fiston Mayele amesema wanahitaji pointi kimataifa ugenini na nyumbani. Mayele raia wa DR Congo ameweka wazi kuwa kila mechi ambayo wanacheza ni muhimu kushinda ili kupata pointi tatu ambazo wanazihitaji. Ikumbukwe kwamba bao…

Read More

MANDONGA APIMA UZITO, KUPANDA ULINGONI LEO DHIDI YA LUKYAMUZI

BONDIA Karim Mandonga jana alifanikiwa kupima uzito tayari kwa pambano lake dhidi ya Kenneth Lukyamuzi, ambalo linatarajia kupigwa leo Jumamosi kwenye Uwanja wa Kasarani hapa Nairobi, Kenya. Mandonga na Lukyamuzi walipima uzito jana kwenye ofisi za makao makuu ya DStv ambao wanatarajia kurusha pambano hilo lisilokuwa la ubingwa ambalo litapigwa kwa raundi nane kwenye uzani…

Read More