>

ISHU YA FEISAL NA YANGA IMEFIKIA HAPA

KAMATI ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imeamua kuwa Feisal Salum bado ni mchezaji wa Yanga kwa mujibu wa mkataba Taarifa hiyo imetolewa leo Januari 7,2023 na TFF baada ya jana Januari 6,2023 shauri hilo kusikilizwa makao makuu ya TFF. Kwenye taarifa hiyo imeeleza kuwa uamuzi kwa…

Read More

SIMBA YAKWEA PIPA, BANDA,NTIBANZOKIZA NDANI

NYOTA wa Simba Peter Banda tayari amerejea kwenye ubora wake akiwa ni miongoni mwa mastaa waliokwea pipa kuelekea Dubai. Kikosi hicho kimepata mualiko maalumu kutoka kwa Rais wa Heshima Mohamed Dewji ambapo kitaweka kambi kwa muda wa siku 7. Wengine ambao wapo kwenye kikosi hicho ni pamoja na Said Ntibanzokiza, Sadio Kanoute huku Moses Phiri…

Read More

YANGA WAFANYA HAFLA NA MATAJI YAO,WAREJEA DAR

UONGOZI wa Yanga chini ya Rais Eng Hersi Said, Benchi la ufundi na wachezaji leo Januari 7 2023 wamemtembelea Mama Fatma Karume pamoja na wajumbe wa Bodi ya Wadhamini na kuwakabidhi makombe manne waliyoshinda mwaka 2022. Hafla hiyo imefanyika nyumbani kwa Mama Fatma Karume, maeneo ya Maisara, Zanzibar 2023. Kikosi cha Yanga kilikuwa Zanzibar kwa…

Read More

SIMBA KUKWEA PIPA KUIBUKIA DUBAI

BAADA ya kuvuliwa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi na kurejea Dar kikosi cha Simba kinatarajia kukwea pipa leo Januari 7,2022 kuelekea Dubai. Kikosi hicho kwenye mechi mbili za hatua ya makundi ambapo kilikuwa kinasaka pointi sita kiliambulia pointi tatu. Mchezo wa kwanza ubao wa Uwanja wa Amaan ulisoma Simba 0-1 Mlandege ambao wametinga hatua ya…

Read More

YANGA OUT KOMBE LA MAPINDUZI

MWENDO wa Yanga kwenye Kombe la Mapinduzi 2023 umegota mwisho baada ya kuambulia sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Singida Big Stars. Yanga ambayo ipo kundi B la Mapinduzi 2023 ilikuwa inahitaji ushindi ili kusonga mbele katika hatua ya nusu fainali lakini haikuwa hivyo kwani hata Singida Big Stars nao walikuwa wanahitaji ushindi. Mabao…

Read More

CHUMA HIKI HAPA KINAFUATA KUTAMBULISHWA YANGA

INAELEZWA kuwa nyota anayefuatwa kutambulishwa ndani ya kikosi cha Yanga ni beki wa kazi mzawa Dickosn Job. Nyota huyo mkataba wake unakaribia kufika ukingoni ambapo mwisho wa msimu huu utakuwa umegota mwisho. Habari zinaeleza kuwa tayari viongozi wa Yanga pamoja na wale ambao wanamsimamia Job wamefanya mazungumzo na kufika kwenye maelewano mazuri. Job ni chaguo…

Read More

SOPU:USHINDI NI ZAWADI KWA MASHABIKI

ABDUL Suleiman, ‘Sopu’ kiungo mshambuliaji wa Azam FC amesema ushindi ambao wameupata mbele ya Jamhuri ni zawadi kwa mashabiki. Januari 5,2023 Azam FC ilipata ushindi wake kwenye mchezo wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Jamhuri. Sopu kwenye mchezo huo alitupia mabao mawili na kuchaguliwa kuwa nyota wa mchezo huo. Timu hiyo inatinga hatua inayofuata ya…

Read More

KOCHA JUMA MGUNDA AKIRI ALITELEZA

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa aliteleza kwenye maelezo wakati akizingumza kuhusu suala la kutetea ubingwa wa timu hiyo. Kwenye mchezo wa ufunguzi dhidi ya Mlandege, Simba ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 na kuvuliwa ubingwa, alipohojiwa na mwandishi kuhusu matumaini ya kutetea taji hilo alibainisha bado yapo kwa kuwa wana mechi mbili. Jamo…

Read More

YANGA V SINGIDA BIG STARS KUKIWASHA

CEDRICK Kaze, kocha msaidizi wa Yanga ameweka wazi kuwa mchezo wao dhidi ya Singida Big Stars hautakuwa mwepesi hivyo wataingia kwa nidhamu. Ni mchezo wa pili kwenye Kombe la Mapinduzi Yanga watacheza leo Januari 6,2023 baada ya ule wa kwanza kukamilisha kwa ushindi. Katika mchezo wa ufunguzi Yanga ambayo inamtumia Yacouba Songne kwenye mashindano hayo…

Read More

MWAMBA HUYU HAPA MFUNGAJI WA BAO LA KWANZA SIMBA

LIKUMBUKE hili jina la Michael Joseph nyota wa kikosi cha Simba kutoka timu B anakuwa wa kwanza kufunga bao ndani ya timu hiyo kwa mwaka 2023. Ni kwenye Kombe la Mapinduzi 2023 ambapo Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda imevuliwa mazima ubingwa wao. Kwenye mchezo wa kwanza ubao ulisoma Simba 1-0 Mlandege jambo lililoyeyusha…

Read More

YANGA KUIKABILI SINGIDA BIG STARS

KIKOSI cha Yanga kesho kina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa pili wa Kombe la Mapinduzi dhidi ya Singida Big Stars. Katika mchezo wa kwanza wa mwaka 2023 Yanga ilisepa na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya KMKM. Mchezo huo ulichezwa Uwanja wa Amaan, Zanzibar ambapo dakika 90 zilikuwa ngumu kwa timu zote mpaka…

Read More

CHELSEA VS MAN CITY… UBABE UBABE TU

VITA kali leo Alhamisi itakuwa pale darajani ambapo miamba miwili ya soka itavaana kila mmoja akiwa na machungu yake baada ya kuanza mwaka vibaya. Huu utakuwa ni mchezo wa Premier League kati ya Chelsea na Manchester City ambao walianza mwaka 2023 kwa kupoteza pointi mbili kila mmoja ndani ya ligi hiyo. Mchezo utapigwa katika Uwanja…

Read More

SIMBA V PRISONS… HAPPY NEW YEAR 2023, ASANTE 2022

HAPPY New year 2023 na asante 2022, ilikuwa ni kazi iliyofanyika kwa vitendo ndani ya Uwanja wa Mkapa, Dar, uliosoma Simba 7-1 Tanzania Prisons, juzi Ijumaa ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara. Hapa Spoti Xtra linakuletea baadhi ya kazi nzito zilizofanywa na wachezaji kwenye msako wa pointi tatu. AISHI MANULA Ilikuwa ni funga mwaka…

Read More