USIKU WA KISASI YANGA YAWATUNGUA IHEFU

UBAO wa Uwanja wa Mkapa umesoma Yanga 1-0 Ihefu ikiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara. Ihefu watajilaumu wenyewe kwa kutunguliwa kwenye mchezo wa leo kutokana na makosa ambayo wameyafanya kipindi cha pili. Shukrani kwa Fiston Mayele ambaye alipachika bao pekee la ushindi dakika ya 63 akitumia makosa ya kipa wa Ihefu Fikirini Bakari kwenye…

Read More

USIKU WA KISASI, YANGA 0-0 IHEFU

DAKIKA 45 za mwanzo zimekamilika ambapo ubao wa Uwanja wa Mkapa unasoma Yanga 0-0 Ihefu. Mbinu za Ihefu FC kwenye dakika 45 zakujilinda zimefanikiwa huku kwenye upande wa ushambuliaji wakiwa na tatizo. Dakika 45 rekodi zinaonyesha kwamba hakuna shuti ambalo limelenga lango licha ya Obrey Chirwa na Adam Adam kuwa kwenye eneo la ushambuliaji. Yanga…

Read More

JESHI LA YANGA V IHEFU HILI HAPA, MUSONDA BENCHI MUDA NDANI

KIKOSI cha Yanga kitakachoikabili Ihefu, Uwanja wa Mkapa, ingizo jipya Mudhathir Yahya ameanza kikosi cha kwanza huku Musonda akiwa benchi. Hiki hapa kikosi chenyewe:- DJIGUI Diarra Djuma Shaban Kibwana Shomary Job Mwamnyeto Mudhathir Yahya Sure Boy Jesus Moloko Fiston Mayele Farid Mussa Tuisila Kisinda Akiba Johola Bryson Lomalisa Bacca Ngushi Ambundo Mzize Musonda

Read More

KISASI NA MAPIGO HURU UWANJA WA MKAPA

KARIBU kwenye mapigo ya ligi ambayo yanaendelea ikiwa ni mwaka 2023, Uwanja wa Mkapa utakuwa na kazi ndani ya dakika 90 kwa wababe kusaka pointi tatu. Ni Yanga dhidi ya Ihefu mchezo unaosubiriwa kwa shauku kubwa kutokana na Ihefu kuwa watibuaji wa mipango ya Yanga. Hapa tunakuletea baadhi ya mambo yatakayonogesha mchezo huo namna hii:-…

Read More

JEMBE LINGINE LATAMBULISHWA MSIMBAZI

NI Mohammed Mussa amesajini dili la miaka mitatu kuitumikia Klabu ya Simba. Nyota huyo ametambulishwa rasmi Januari 16, 2023 baada ya kukamilisha usajili wake katika timu hiyo. Alikuwa anakipiga ndani ya Klabu ya Malindi na sasa yupo ndani ya Simba. Ujumbe mfupi ambao wameuachia Simba wakimtabulisha wamesema Mohamed Muss ni mnyama.

Read More

DAKIKA 180 MBRAZIL ASHUHUDIA MABAO MAWILI YA MZAWA

KIKOSI cha Simba kikiwa nchini Dubai kilicheza mchezo wake wa pili wa kirafiki   na kuambulia sare ya kufungana mabao 2-2 dhidi ya CSKA Moscow nchini Dubai. Ikiwa chini ya Kocha Mkuu, Robert Oliviera Simba iliyeyusha dakika 45 ikiwa imefungwa mabao mawili na wapinzani wao katika mchezo huo. Kipindi cha pili Simba walionyesha uimara kwenye upande…

Read More

SUALA LA KUSHUKA DARAJA LIPO, MUHIMU KUJIPANGA

KAZI kubwa kwa sasa kwa timu zote ambazo zinashiriki Ligi Kuu Bara, Championship na Ligi ya Wanawake ni kusaka ushindi. Ipo wazi baada ya mapumziko ya muda kutokana na ratiba mbalimbali tayari mambo yanaanza kurejea taratibu. Tunaona wale ambao walikuwa kwenye Kombe l Mapinduzi wamerejea na waliokuwa wakifuatilia wameshuhudia bingwa mpya. Hongera kwa Mlandege kwa…

Read More

METACHA NI NJANO NA KIJANI

KIPA Metacha Mnata ambaye ni kipa mzawa atkuwa ndani ya kikosi cha Yanga kinachopambana kutetea taji la ligi. Kipa huyo aliwahi kuitumikia Yanga kabla ya kukamilisha mkataba wake na kuachana naye kisha nafasi yake akaichukua Eric Johora. Johora hakuwa na mwendo mzuri ndani ya kikosi cha Yanga kwa kuwa hakuwa na uhakika wa kuanza kikosi…

Read More