NYOTA YANGA WANAZIDI KUIMARIKA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa bado kasi ya wachezaji wa timu hiyo inazidi kuongezeka na watafanya vizuri mechi zao zijazo. Kwenye mchezo wao uliopita dhidi ya Coastal Union miongoni mwa nyota ambao walipata nafasi ya kuonyesha uwezo wao ni pamoja na Fiston Mayele, Aziz KI, Feisal Salum, Gael na Aziz KI. Ally Kamwe, Ofisa…

Read More

KAGERA SUGAR 1-1 SIMBA, KAITABA

BEKI wa Simba Henock Inonga amepachika bao lake la kwanza leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar. Ni dakika ya 38 Inonga alipachika bao hilo akiweka usawa ndani ya dakika 45. Ni Kagera Sugar walianza kumtungua Aishi Manula kipa wa Simba ambaye hakuwa na chaguo kuokoa mpira huo. Ilikuwa ni dakika…

Read More

REKODI NA KIKOSI CHA SIMBA V KAGERA SUGAR

KIKOSI cha Simba kitakachoanza dhidi ya Kagera Sugar, Uwanja wa Kaitaba hiki hapa:_ Manula ambaye hajafungwa kwenye mechi 10 akiwa ameyeyusha dakika 1306 leo ana kazi ya kuendelea kulinda rekodi yake. Kapombe mchezo uliopita alitoa pasi moja ya bao Zimbwe Jr ana pasi nne za mabao Henock Kaoute nyota pekee mwenye kadi nyekundu ndani ya…

Read More

AZAM FC WAPIGWA NA BUTWAA GEITA WAKIPATA PENALTI

BENCHI la ufundi la Azam FC chini ya Kaimu Kocha Kali Ongala leo Desemba 21 limeshuhudia penalti iliyowaacha kwenye mshangao na kuwapa pointi moja mbele ya Geita Gold. Dakika ya 68 mshambuliaji wa Geita Gold, Danny Lyanga alionekana akipambana kuingia kwenye 18 ya Azam FC na kugongana na mdogo wake Ayoub Lyanga. Mwamuzi wa kati…

Read More

KAZI IPO KESHO UWANJA WA MKAPA

KUELEKEA kwenye mchezo wa kesho wa dabi ya Kariakoo upande wa Wanawake, Simba Queens v Yanga makocha wote wameweka wazi kwamba wapo tayari kwa mchezo huo. Simba Queens ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi ya Wanawake Tanzania watawakaribisha Yanga Princess Uwanja wa Mkapa. Kocha Mkuu wa Yanga Princess ambaye ameibuka hapo muda mfupi baada ya…

Read More

WATANI WA JADI VITANI KUSAKA POINTI TATU

LIGI ya Wanawake Tanzania inaendelea ambapo watani wa jadi wote Simba Queens na Yanga Princess mechi zao za ufunguzi walipasuka. Kesho Desemba 22 unatarajiwa kuchezwa mchezo wa watani wa jadi wenye rekodi zinazofanana. Simba Queens wao walinyooshwa mabao 2-1 dhidi ya JKT Queens huku Yanga Princess wao wakinyooshwa bao 1-0 dhidi ya Fountain Gate Princess…

Read More

HII HAPA RATIBA LIGI KUU BARA

DESEMBA 21,2022 Ligi Kuu Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea ikiwa ni mzunguko wa pili. Tanzania Prisons wenye pointi 15 watawakaribisha Dodoma Jiji kutoka makao makuu wakiwa na pointi 18. Pia Geita Gold wenye pointi zao 22 wao watamenyana na Azam FC wenye pointi 36. Ngoma nyingine itakayopigwa ni Kagera Sugar yenye pointi 22 kibindoni dhidi ya…

Read More

IBRAHIM AJIBU KUIBUKIA SINGIDA BIG STARS

KIUNGO wa zamani wa Yanga, Simba na Azam FC Ibrahim Ajibu anatajwa kumalizana na mabosi wa Singida Big Stars. Nyota huyo uora wake aliokuwa nao Yanga alipomaliza kwa kutoa pasi 17 za mabao bado anautafuta kwa kuwa hajagotea namba hata 10 ya pasi za mwisho. Kwa sasa mzee wa makorokocho anatajwa kutua ndani ya Singida…

Read More

CHEZA KIBINGWA NA KASINO YA MTANDAONI YA MERIDIANBET! CHEZA USHINDE NA DEUCES WILD POKER

Usisubiri kuhadithiwa! Jiunge na Meridianbet sasa ili uweze kupata bonasi na promosheni kibao katika michezo mingi. Kila wiki, Meridianbetinakuletea bonasi na promosheni kabambe kabisa. Wiki hii, Meridianbet inakuletea mchezo bomba na wa kipekee uitwao Deuces Wild Poker uliotengenezwa na Habanero. Ukiingia katika Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, utakuta mchezo wa Deuces Wild Poker ambao ni…

Read More

YANGA YAIBAMIZA COASTAL UNION,DUA KWA NKANE

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Coastal Union. Mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Mkapa, dakika 90 Yanga ilikuwa kwenye umiliki wa mpira jambo lililoipa Coastal Union kutoboa ngome iliyokuwa chini ya nahodha Bakari Mwamnyeto. Ni mabao ya Fiston Mayele ambaye ametupia mabao mawili na bao…

Read More

SIMBA KAMILI KUIVAA KAGERA SUGAR KAITABA

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema mchezo wao wa kesho dhidi ya Kagera Sugar maandalizi yake yapo sawa kinachosubiriwa ni dakika 90. Simba itaingia kwenye mchezo huo ikiwa na kumbukumbu ya ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Geita Gold Uwanja wa Kirumba, Mwanza. Inakutana na Kagera Sugar ambayo imetoka kulazimisha sare ya kufungana mabao…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA

RUVU Shooting chini ya Kocha Mkuu, Mbwana Makata ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Uhuru katika msako wa point tatu muhimu. Mchezo uliopita Ruvu Shooting ilipoteza pointi tatu mbele ya Ihefu ambapo ilifungwa mabao 2-0 lile moja ni mali ya…

Read More

RASMI KOCHA COASTAL UNION ABWAGA MANYANGA

RASMI uongozi wa Coastal Union umetangaza kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Yusuf Chipo ambaye alikuwa ni kocha mkuu wa timu hiyo. Taarifa rasmi iliyotolewa na Coastal Union leo Desemba 20,2022 imeeleza kuwa Desemba 19, 2022 walifikia makubaliano ya kusitisha mkataba huo kwa makubaliano ya pande zote mbili. Kwa sasa timu hiyo ambayo ina mchezo…

Read More