YANGA YAIBAMIZA COASTAL UNION,DUA KWA NKANE

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga wameibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Coastal Union. Mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Mkapa, dakika 90 Yanga ilikuwa kwenye umiliki wa mpira jambo lililoipa Coastal Union kutoboa ngome iliyokuwa chini ya nahodha Bakari Mwamnyeto. Ni mabao ya Fiston Mayele ambaye ametupia mabao mawili na bao…

Read More

SIMBA KAMILI KUIVAA KAGERA SUGAR KAITABA

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema mchezo wao wa kesho dhidi ya Kagera Sugar maandalizi yake yapo sawa kinachosubiriwa ni dakika 90. Simba itaingia kwenye mchezo huo ikiwa na kumbukumbu ya ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Geita Gold Uwanja wa Kirumba, Mwanza. Inakutana na Kagera Sugar ambayo imetoka kulazimisha sare ya kufungana mabao…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA

RUVU Shooting chini ya Kocha Mkuu, Mbwana Makata ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Uhuru katika msako wa point tatu muhimu. Mchezo uliopita Ruvu Shooting ilipoteza pointi tatu mbele ya Ihefu ambapo ilifungwa mabao 2-0 lile moja ni mali ya…

Read More

RASMI KOCHA COASTAL UNION ABWAGA MANYANGA

RASMI uongozi wa Coastal Union umetangaza kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba na Yusuf Chipo ambaye alikuwa ni kocha mkuu wa timu hiyo. Taarifa rasmi iliyotolewa na Coastal Union leo Desemba 20,2022 imeeleza kuwa Desemba 19, 2022 walifikia makubaliano ya kusitisha mkataba huo kwa makubaliano ya pande zote mbili. Kwa sasa timu hiyo ambayo ina mchezo…

Read More

MKUDE NDANI YA BUKOBA KAZI IPO

 LEGEND Jonas Mkude ni miongoni mwa nyota wa kikosi cha Simba ambao wapo kwenye msafara uliowea kambi Bukoba. Kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda kina kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Kagera Sugar, Uwanja wa Kaitaba. Ikumbukwe kwamba Simba msimu wa 2021/22 ilinyooshwa bao 1-0 na Kagera Sugar katika mchezo uliochezwa…

Read More