
VIDEO:SIMBA YABAINISHA KUHUSU MABORESHO BENCHI LA UFUNDI
AHMED Ally,Meneja wa Habari na Mawasiliano Simba amebainisha kuwa kwa sasa wapo kwenye maboresho ya benchi la ufundi wa timu hiyo
AHMED Ally,Meneja wa Habari na Mawasiliano Simba amebainisha kuwa kwa sasa wapo kwenye maboresho ya benchi la ufundi wa timu hiyo
KIBWANA Shomari beki wa Yanga ameweka wazi kuwa alikuwa na nia ya kufunga jambo ambalo lilitokea baada ya dakika 90 kumeguka Uwanja wa Mkapa. Novemba 17,2022 Yanga iliibuka na ushindi wa mabao 4-1 Singida Big Stars na kuwafanya wasepe na pointi tatu mazima. Watupiaji walikuwa ni wawili ambapo Fiston Mayele alitupia mabao matatu na kusepa…
KLABU ya KMC, alimaarufu kama “KINO BOYS”, kwa kushirikiana na Mdhamini mkuu wa klabu hiyo kampuni ya Meridianbet wametoa msaada wa vifaa vya ujenzi wa kituo cha polisi, kilichopo Mtaa wa Tegeta A ambacho kinaendelea kujengwa ili kutoa msaada wa kiusalama kwa eneo hilo. Vifaa hivyo vilivyotolewa ni mifuko ya Saruji “Cement” zaidi 50 pamoja…
FISTON Mayele nyota wa Yanga amefikisha mabao 6 kibindoni baada ya leo kufunga hat trick kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida Big Stars. Dakika 90 zimekamilika kwa ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Yanga 4-1 Singida Big Stars ikiwa ni ushindi mkubwa kwa Yanga kuupata wakiwa nyumbani msimu huu. Bao lingine la…
RAMSI Kelvin Mandla kutoka Afrika Kusini ametambulishwa kuwa kocha wa viungo (Fitness Coach). Kabla ya kocha huyo Simba haikuwa na kocha wa viungo baada ya aliyekuwa kweye nafasi hiyo kuondoka. Anakuwa kocha wa pili kutambulishwa kwenye benchi la ufundi ndani ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda. Novemba 15,2022 Simba ilimtamulsha kocha wa makipa…
KIPA wa Azam FC ameweka wazi kuwa timu hiyo imekuwa kwenye mwendo bora kutokana na kujituma kwa wachezaji hao
CLEMENT Mzinze nyota wa Yanga aliyezima ndoto za Kagera Sugar ya Mecky Maxime kutibua rekodi ya timu hiyo kutofungwa ni dereva bodaboda na fundi ujenzi. Nyota huyo alifunga bao pekee ubao wa Uwanja wa CCM Kirumba uliposoma Kagera Sugar 0-1 Yanga dakika ya 18 akitumia pasi ya Feisal Salum. Mshambuliaji huyo amesema:-“ “Nimezaliwa Tanga nina…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa umetoa baraka zote kwa kocha msaidizi wa timu hiyo Seleman Matola kuondoka. Matola anatarajiwa kuanza masomo ya masuala ya ukocha ambapo anatafuta Leseni A itakayompa fursa ya kuwa kocha mkuu kwenye timu yoyote. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema kuwa kila kitu kinakwenda sawa…
MATAIFA matatu yalifanya kazi kubwa kuipaisha Yanga kimataifa na kuipeleka kwenye hatua ya makundi Kombe la Shirikisho Afrika. Ni kupitia bao pekee la ushindi la Aziz Ki raia wa Burkina Faso ambaye alifunga bao hilo dakika ya 79 akitumia pasi ya Fiston Mayele raia wa DR Congo. Ikumbukwe kuwa kabla ya bao kupatikana lilipita kwenye…
LIGI Kuu Tanzania Bara leo Novemba 17,2022 inatarajiwa kuendeea kwa timu kuyeyusha dakika 90 msako wa pointi tatu muhimu. Ihefu ya Mbeya itawakaribisha Polisi Tanzania mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Highland Estate, Mbeya. Mbeya City ya Mbeya itawakaribisha Kagera Sugar, Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Yanga ya Dar itawakaribisha Singida Big Stars, Uwanja wa Mkapa, Dar…
KIUNGO Abdul Suleiman, ‘Sopu’ ameanza kurejea kwenye ubora wake baada ya kuwa nje kwa muda akitibu majeraha yake. Ingizo hilo jipya kutoka Coastal Union hajawa kwenye mwendo bora ndani ya Azam FC kwa kuwa mudamwingi anatumia akiwa nje ya uwanja. Kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Ruvu Shooting wakati Azam FC ikishinda bao 1-0 alionyesha…
Kila baada ya miaka minne wapenda soka kote duniani huwa wanaungana na kushuhudia utamu wa burudani ya macho na moyo nikimaanisha hisia zote huwa uwanjani. Ndio Namaanisha Kombe la Dunia, ni jukwaa maalum kabisa la Mabingwa kuonesha ukali wao na Mabingwa wenzao. Na wewe una nafasi ya kuonesha ubingwa wako kwa kubeti kwenye…
CEDRICK Kaze, kocha msaidizi wa Yanga ameweka wazi kuwa mchezo wao wa kesho dhidi ya Singida Big Stars utakuwa na ushindani mkubwa na watakuwa na chaguo sahihi kwenye kikosi cha kwanza huku akiwataja wachezaji ambao watakosa mchezo wa kesho
MOSES Phiri nyota wa Simba amefunga bao pekee la ushindi kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC. Ulikuwa ni mchezo wa wazi kwa timu zote mbili kusaka ushindi ambapo kipindi cha kwanza Simba walimaliza mchezo kwa kupata bao la ushindi. Ilikuwa ni dakikaya 32 Phiri alipachika bao hilo na kuipa pointi tatu…
DJIGUI Diarra kipa namba moja wa Yanga ataukosa mchezo wa kesho dhidi ya Singida Big Stars kwa kuwa yupo kwenye majukumu ya timu ya taifa ya Mali. Mdaka mishale huyo ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi hivyo kwa sasa amebakiwa na nyota wawili ambao ni Aboutwalib Mshery na Erick Johora. Pia Aziz…
KINARA wa utupiaji mabao ndani ya kikosi cha Azam FC ni Idris Mbombo ambaye ametupia mabao 6. Bao lake la sita aliwatungua Ruvu Shooting, Uwanja wa Azam FC kwa mkwaju wa penalti dakika ya 90. Linakuwa ni bao lake la pili la penalti msimu huu huku likiwa ni bao la kwanza kwake ufunga dakika za…
ISHU ya usajili safu ya ushambuliaji Simba Mgunda awataja mastaa