>

AZAM FC KUKIPIGA NA COASTAL, KIINGILIO JEZI

NOVEMBA 27,2022 Azam FC itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Coastal Union. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex saa 1:00 usiku. Katika mchezo huo kiingilio ni uzi wa Azam FC kwa yule ambaye hana jezi hiyo akifika uwanjani watafanya mazungumzo kujua shughuli inakwendaje. Azam FC imekuwa kwenye mwendo mzuri msimu huu…

Read More

MBEYA CITY 0-1 SIMBA

KITASA wa kazi ngumu ndani ya kikosi cha Simba , Mzamiru Yassin amepachika bao la kuongoza ugenini. Dakika ya 14 usomaji wa ubao wa Uwanja wa Sokoine ulibadilika na kusoma Mbeya City 0-1 Simba. Bao la Mzamiru limepachikwa dakika ya 14 kwa pasi ya mshambuliaji John Bocco. Dakika 45 zimekuwa na ushindani mkubwa kwa kila…

Read More

YANGA WAREJEA DAR KAMILI KUIVAA MBEYA CITY

BAADA ya kumalizana na Dodoma Jiji kwa ushindi wa mabao 2-0 kikosi cha Yanga leo Novemba 23 kimerejea Dar kwa maandalizi ya mwisho dhidi ya Mbeya City. Ni Novemba 26 mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Mabao yote ya Yanga yalifungwa na mshambuliaji wao namba moja Fiston Mayele. Kipindi cha kwanza alifunga bao moja…

Read More

SINGIDA BIG STARS KUIKABILI KMC

KIKOSI cha Singida Big Stars leo kina kazi ya kusaka pointi tatu muhimu mbele ya KMC ambao nao wanazihitaji pia. Ni kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Liti saa 8:00 mchana huko Singida. Upande wa kiingilio ni 3,000 kwa mzunguko na VIP ni shilingi 5,000 ambazo zitawafanya mashabiki kushuhudia mchezo huo…

Read More

MGUNDA:WAKATI WA KIBU UNAKUJA

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wakati wa kufunga kwa mshambuliaji wake Kibu Dennis unakuja. Nyota huyo msimu wa 2021/22 alikuwa mfungaji bora ndani ya kikosi cha Simba alipotupia mabao 8 kibindoni. Msimu huu hajafunga bao zaidi ya kutoa pasi moja ilikuwa kwenye mchezo dhidi ya Tanzania Prisons alipompa mshikaji wake Jonas Mkude….

Read More

UFARANSA WAPIGA 4G

MABINGWA watetezi wa Kombe la Dunia wamepindua meza kibabe na kusepa na pointi tatu mazima kwenye mchezo wa kwanza wa makundi dhidi ya Australia. Austaralia wakiwa Uwanja wa Al Janoub mbele ya mashabiki 40,875 walianza kupata bao la kuongoza mapema dakika ya 9 kupitia kwa Craig Goodwin. Ni Adrien Rabiot alipachika bao dakika ya 27,…

Read More

SABABU ZA MATOLA KUCHELEWA KUSOMA

SELEMAN Matola, Kocha Msaidizi wa Simba amesema kuwa sababu kubwa ya yeye kuchelewa kusoma kozi ya ukocha Leseni A ya CAF anayoisomea kwa sasa ni upatikanaji wa nafasi hizo. Matola kwa sasa yupo masomoni akiendeleza ujuzi wake wa masuala ya ufundishaji ambapo gharama za malipo zinasimamiwa na waajiri wake Simba. Kocha huyo amesema:”Hizi kozi huwa…

Read More

SIMBA MIKONONI MWA MBEYA CITY LEO SOKOINE

MBEYA City yenye maskani yake Mbeya ikiwa na staa Ssemujju Joseph ambaye ni mshambuliaji anayetumia nguvu nyingi na akili pamoja na winga mzawa Sixtus Sabilo, leo Novemba 23,2022 wataikaribisha Simba. Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda kwenye mechi za nje ya mkoa wa Dar wamekuwa wakipata tabu kupata matokeo licha ya kuwa na wachezaji…

Read More