>

YANGA KAMILI KUIVAA DODOMA JIJI

KUELEKEA mchezo wa kesho wa Ligi Kuu Bara kati ya Dodoma Jiji dhidi ya Yanga, benchi la ufundi la Yanga limeweka wazi kuwa kila kitu kipo sawa. Ni Nasreddine Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa namna ambavyo wanapata ushindi na kutopoteza mchezo morali na ari ya kupambana inaongezeka kutokana na mashabiki kushangilia. “Ni kitu…

Read More

JEMBE AMPA UJUMBE HUU FEI KUHUSU CHAMA

WASEMA kweli nchi hii hawapendwi, ukweli mara nyingi unaumiza lakini ukiukubali ni dawa. Mjadala wa ubora, nani zaidi kati ya Chama na wewe unazidi kukua lakini kwangu naona umejawa ushabiki zaidi ya uhalisia. Watu wanakwita Zanzibar Finest lakini kama ni kiungo mchezeshaji wewe ni Tanzania Bara na Visiwani Finest…lakini tumtoe Chama. Mashabiki wake wanamuita Mwamba…

Read More

AZAM FC MOTO NI ULEULE

MOTO wa Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Kali Ongala hauzimi kwa kuwashusha waliokuwa namba Simba na sasa wao wapo juu. Baada ya ubao wa Uwanja wa Majaliwa kusoma Namuongo 0-1 Azam FC, pointi tatu wamesepa nazo jumlajumla. Inafikisha pointi 29 baada ya kucheza mechi 13 ndani ya ligi kwa msimu wa 2022/23 na Simba…

Read More

VALENCIA AWEKA REKODI HII KOMBE LA DUNIA

MWAMBA Enner Valencia ameandika rekodi yake ya kufunga mabao mawili kwenye mchezo wa ufunguzi wa Kombe la Dunia. Wakati ubao wa Uwanja wa Al Bayt ukisoma Qatar 0-2 Ecuador ni Valencia alipachika mabao yote mawili ilikuwa dakika ya 16 kwa mkwaju wa penalti na dakika ya 31. Bao lake la dakika ya tatu lifutwa baada…

Read More