>

YANGA WABANISHA UGUMU KUWAKABILI AL HILAL

ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hilal. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kesho Oktoba 16,2022 baada ya ule wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa ubao kusoma Yanga 1-1 Al Hilal. Alfajiri ya leo Oktoba 15,2022 kikosi cha Yanga kinachonolewa…

Read More

VIDEO:YANGA:UKWELI MCHUNGU, WATATU KUWAKOSA AL HILAL

ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa ukweli mchungu kwa timu hiyo kushindwa kutinga hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika jambo ambalo linawafanya wawafuate wapinzani wao wakiwa wanahitaji ushindi ndani ya dakika 90 bila hofu. Kamwe amebainisha kuwa kuna wachezaji watatu ambao watakosekana kwenye mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Sudan, Oktoba 16,2022

Read More

MBEYA CITY YAINYOOSHA POLISI TANZANIA

KIKOSI cha Polisi Tanzania kimeadhibiwa na nyota wa Polisi Tanzania ambao walikuwa kwenye kikosi hicho kwa nyakati taofauti na sasa wanapata changamoto mpya ndani ya Mbeya City. Kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Sokoine, baada ya dakika 90, ubao umesoma Mbeya City 3-1 Polisi Tanzania. Ni mabao ya Hassan Nassoro dakika ya…

Read More

HAWA HAPA MASTAA YANGA WATAKAOIBUKIA SUDAN

KIKOSI cha Yanga alfajiri ya Oktoba 15,2022 wanatarajia kukwea pipa kuelekea nchini Sudan kwa ajili kuwakabili Al Hilal, Jumapili. Hiki hapa kikosi kazi cha Yanga kinachotarajia kuibukia nchini Sudan:- Makipa ni Aboutwalib Mshery Djigui Diarra Eric Johora Mabeki Bakari Mwamnyeto Yannick Bangala Dickson Job Ibrahm Abdullah, (Bacca) Djuma Shaban Kibwana Shomari Mutambala Lomalisa David Bryson…

Read More

MINZIRO AFUNGUKIA KUPATA POINTI MOJA UGENINI

KOCHA Mkuu wa Geita Gold, Felix Minziro amesema kuwa pointi moja ambayo wameipata ugenini ni muhimu kwao kwa kuwa wanazidi kujiamini kuelekea mechi zijazo. Ikiwa Uwanja wa Mkwakwani, Geita Gold ilishuhudia ubao ukisoma Coastal Union 0-0 Geita Gold baada ya dakika 90 kukamilika. Minziro amesema kuwa wanatambua walikuwa wanahitaji pointi tatu muhimu lakini wamepata moja…

Read More

USHINDI WA MABAO 7-1 WAIPA JEURI LIVERPOOL

BAADA ya kichapo cha mabao 7-1 walichokitoa Liverpool kwa Rangers katika Ligi ya Mabingwa Ulaya juzi kimemfanya Jurgen Klopp aamini kwamba watakuwa wanajiamini kuelekea mchezo wao dhidi ya Man City. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Jumapili unasubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki wa mpira kutokana na ushindani wa timu hizo mbili. Ni mabao matatu ambayo yalifungwa…

Read More

FISTON MAYELE KIMATAIFA KATUPIA, KAZI NYINGINE INAFUATA

MSHAMBULIAJI Fiston Mayele kwenye anga za kimataifa ni mabao 7 katupia katika mechi tatu za ushindani ambazo Yanga imecheza. Mayele amefunga mabao hayo kwenye mchezo dhidi ya Zalan FC ya Sudan katika mechi mbili ni mabao sita aliwafunga, mchezo wa kwanza alifunga mabao matatu na ule wa pili alifunga mabao matatu. Yanga ilitinga raundi ya…

Read More