VIDEO: ISSA AZAM AMPA PONGEZI MGUNDA
SHABIKI wa Simba maarufu kwa jina la Issa Azam amempa pongezi Kocha Mkuu wa Simba Juma Mgunda kwa kusema kuwa anafanya kazi ambayo inaonekana na hajafungwa
SHABIKI wa Simba maarufu kwa jina la Issa Azam amempa pongezi Kocha Mkuu wa Simba Juma Mgunda kwa kusema kuwa anafanya kazi ambayo inaonekana na hajafungwa
ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amebainisha kuwa Yanga ni kubwa kuliko Al Hilal, Jumamosi, Yanga itamenyana na Al Hilal, Uwanja wa Mkapa, Oktoba 8 ambapo amesema kuwa kiingilio kimeshshuwa ili kuhakikisha kila shabiki anafika kuishangilia timu hiyo
STAA wa Azam FC, Ibrahim Ajibu anaishi kwenye ulimwengu wake ndani ya kikosi hicho kwa kuwa tangu amejiunga na matajiri hao wa Dar hana uhakika wa kuanza kikosi cha kwanza. Ajibu aliibuka Azam FC akitokea Simba aliahidi kuwa atafanya jitihada kutimiza majukumu yake ndani ya timu hiyo pamoja na timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa…
CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa makossa ambayo waliyafanya msimu uliopita kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika na kutolewa mapema yamewapa hasira ya kupambana kuyafuta. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2021/22 kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika Yanga ilifungashiwa virago hatua ya awali kwa jumla ya mabao 2-0 dhidi ya Rivers United. Kaze amesema kuwa wanatambua…
AGGY Simba shabiki wa Simba amewachambua wapinzani wa Yanga kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika ambao ni Al Hilal wanaonolewa na Kocha Mkuu Ibenge
HAKUNA muda wa ziada kwenye maisha ya soka kwani hata ule ambao unakuwa unaogezwa unatokana na maamuzi ya mwamuzi wa kati kuangalia namna wachezaji walivyokuwa wakipoteza muda uwanjani. Ipo hivyo kwa sasa wawakilishi wa Tanzania kwenye mashindano a kimataifa hawana muda wa kusema kwamba watasubiri mechi ya kwanza upindua meza hilo halipo. Unakumbuka ile Simba…
SIMBA SC yakodi dege la kishua, watatu waacha Dar, Nabi aitega Al Hilal, ndani ya Spoti Xtra, Alhamisi
SHABIKI wa Simba amemzungumzia Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe namna hii, msikilize na kumtazama