IBRAHIM AJIBU ANAISHI ULIMWENGU WAKE

STAA wa Azam FC, Ibrahim Ajibu anaishi kwenye ulimwengu wake ndani ya kikosi hicho kwa kuwa tangu amejiunga na matajiri hao wa Dar hana uhakika wa kuanza kikosi cha kwanza. Ajibu aliibuka Azam FC akitokea Simba aliahidi kuwa atafanya jitihada kutimiza majukumu yake ndani ya timu hiyo pamoja na timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa…

Read More

YANGA WAPATA HASIRA KIMATAIFA

CEDRICK Kaze, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa makossa ambayo waliyafanya msimu uliopita kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika na kutolewa mapema yamewapa hasira ya kupambana kuyafuta. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2021/22 kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika Yanga ilifungashiwa virago hatua ya awali kwa jumla ya mabao 2-0 dhidi ya Rivers United.  Kaze amesema kuwa wanatambua…

Read More