YANGA YASEPA NA POINTI ZA RUVU SHOOTING
MZAWA Feisal Salum mali ya Yanga amefikisha jumla ya mabao matatu ndani ya kikosi hicho akiwa sawa na Fiston Mayele raia wa DR Congo. Bao la tatu Fei Tofo amefunga leo Oktoba 3,2022 kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Ruvu Shooting, Uwanja wa Mkapa. Baada ya dakika 90 uao umesoma Ruvu Shooting 1-2 Yanga ambapo…