>

MTANZANIA IBRA CLASS ATAMBA KUMDUNDA MMEXICO

BONDIA nyota wa Tanzania, Ibrahim Class ametamba kumchapa mpinzani wake Gustavo Pina Melgar kutoka Mexico katika pambano la kimataifa lililopangwa kufanyika kwenye ukumbi wa Mlimani City. Pambano hilo limeandaliwa na Kampuni ya MO Boxing, ikiwa ni mara ya kwanza kwa kampuni hiyo chini ya mfanyabiashara maarufu, Mohammed Dewji. Class amesema kuwa baada ya kukaa nje…

Read More

WAKALI WAKIANZIA BENCHI LAZIMA WAFANYE KWELI

MIPANGO ya ushindi kusukwa inaanza kwa wachezaji wale waliopo ndani ya uwanja na wale wanaokaa benchi kusoma mchezo unavyoendelea. Ndani ya ligi msimu wa 2022/23 wapo mastaa ambao wamekuwa wakali wakianzia benchi kwa kuwa walipoingia walifanikiwa kubadilisha namba kwenye ubao. Hapa tunakuletea baadhi ya nyota ambao wamekuwa na makali wakianzia benchi namna hii:- Feisal Salum…

Read More

BEKI MAGUIRE APATA WATETEZI HUKO

NAHODHA wa timu ya Taifa ya England, Harry Kane na beki  Luke Shaw wameibuka na kumtetea mchezaji mwenzao, Harry Maguire. Beki huyo alifanya makosa mawili yaliyopelekea kufungwa mabao mawili kwenye mchezo uliochezwa Jumatano. England ililazimisha sare ya kufungana mabao 3-3 dhidi ya Ujerumani kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Wembley ukiwa ni wa Michuano ya Kimataifa…

Read More

SIMBA KWENYE DAKIKA 90 NYINGINE ZA KAZI LEO

KWENYE mchezo wa kirafiki dhidi ya Malindi uliochezwa Uwanja wa Amaan kipa namba tatu wa Simba, Ally Salim aliweza kuonyesha uwezo wake kwa kuanza kikosi cha kwanza. Leo Septemba 28,2022 kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Juma Mgunda kina kazi ya kusaka ushindi kwenye mchezo mwingine dhidi ya Kipanga FC ndani ya dakika 90….

Read More

MALINDI YAWAIBUA KAPAMA NA BANDA, KESHO KAZI NYINGINE

PETER Banda na Nassoro Kapama wameibuliwa na Malindi FC kwenye mchezo wao wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Kwenye mchezo huo uliochezwa juzi, ubao ulisoma Malindi0-1 Simba huku bao la ushindi likifungwa na Nassoro Kapama dakika ya 13. Bao hilo ni la kwanza kwa Kapama ambaye ameibuka ndani ya Simba akitokea Kagera Sugar na…

Read More