
SAUTI:SABABU NNE ZA MZUNGU WA SIMBA KUTIMKA JUMLAJUMLA
DEJAN maarufu kama Mzungu wa Simba jana alitoa taarifa kuhusu kuvunjika kwa mkataba wake ndani ya kikosi cha Simba, hizi hapa sababu nne ambazo zimefanya nyota huyo kuondoka
DEJAN maarufu kama Mzungu wa Simba jana alitoa taarifa kuhusu kuvunjika kwa mkataba wake ndani ya kikosi cha Simba, hizi hapa sababu nne ambazo zimefanya nyota huyo kuondoka
STAA wa Manchester City, Kevin de Bryune anaweza kuingia kwenye vitabu vya rekodi ya Premier. Sababu kubwa itakayomfanya nyota huyo kuingia kwenye rekodi hiyo ni kutokana na kuanza kwa kasi msimu huu ndani ya kikosi hicho cha Pep Guardiola ambaye ni Kocha Mkuu. Nyota huyo amekuwa hapo kwa muda mrefu na akiwa ni chachu ya…
BONDIA mwenye mbwembwe nyingi ulingoni Mandonga mtu kazi ameweka wazi kuwa anamtaka Hassan Mwakinyo kwenye pambano
NDANI ya dakika 180, Zanzibar, Kocha Mkuu wa Simba, Juma Mgunda ameshuhudia wachezaji wake wakishinda mechi zote mbili. Kwenye mechi hizo Simba haijaruhusu bao la kufungwa huku ikifunga jumla ya mabao manne, moja ni kwa pigo la penalti. Mchezo wa kwanza ilikuwa dhidi ya Malindi FC ambapo Simba ilishinda bao 1-0 huku mtupiaji akiwa ni…
LEO Septemba 29,2022 msafara wa Azam FC ukitarajiwa kuelekea Mbeya kwenye maandalizi ya mwisho ya mchezo wao dhidi ya Tanzania Prisons, kiungo wao Ibrahim Ajibu ni miongoni mwa watakaoaki Dar. Azam FC inarejea kwa mara nyingine Mbeya kwenye mchezo wa ligi baada ya ule uliopita kucheza dhidi ya Mbeya City na kuambulia ushindi wa bao…
ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi kuwa baada ya kutangazwa rasmi kwenye Idara ya Habari na Mawasiliano alipongezwa na Haji Manara ambaye ni Msemaji wa Yanga. Ameweka wazi kuwa Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba naye alimpa pongezi. Septemba 27, Kamwe alitangazwa kuwa Ofisa Habari na Priva Abiud maarufu…
UONGOZI wa Simba kupitia kwa Mtendaji Mkuu Barbara Gonzalez umeweka wazi kuwa straika wao Dejan Georgijevic hajafuata taratibu kwenye suala la kuvunja mkataba wake. Nyota huyo maarufu kama Mzungu wa Simba, mapema jana Septemba 28,2022 kupitia ukurasa wake wa kijamii wa Instagram alibainisha kuwa amethibitisha mkataba wake wa ajira ndani ya Simba umesitishwa. “Ninathibitisha kwamba…
REKODI kwa wachezaji wale ambao wanafungiwa mechi zao kutokana na kuonyesha nidhamu mbaya katika Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2022/23 haipaswi kupewa nafasi. Wakati mwingine kwa sasa ni mwendelezo wa ligi baada ya muda wa mapumziko kutokana na mechi ambazo zilikuwa zinaendelea kwenye timu za taifa. Ukweli ni kwamba kurejea kwa ligi ni muhimu…
IMEFICHUKA sababu 4 zamng’oa staraika Mzungu Simba,Yanga yamaliza kazi mapema CAF, ndani ya Spoti Xtra Alhmaisi
ANDRE Mtine Mtendaji Mpya wa Yanga ameweka wazi kuwa anaamini Yanga ni timu kubwa jambo ambalo limemfanya awe hapo na imani yake ni uona anaweza kufanya mambo makubwa kufikia malengo yaliyowekwa na timu hiyo