>

SIMBA QUEENS KUSAKA UBINGWA KIMATAIFA LEO

SIMBA Queens leo ina kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya She Corporate ya Uganda kwenye mchezo wa Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, ukanda wa Cecafa. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa leo Agosti 27 Uwanja wa Azam Complex saa 1:00 usiku na ikishinda itatwaa ubingwa huo kwa mara ya kwanza. Kocha Mkuu wa Simba Queens, Sebastian…

Read More

TENGENEZA MKWANJA KUPITIA MCHEZO WA FOXPOT

Zaidi unakuwa kwenye nafasi nzuri ya kushndinda Bonasi, Mizunguko ya bure na Jackpot kibao kwenye sloti ya Foxpot, na kasino ya Meridianbet. Fahamu Kuhusu Sloti ya Foxpot Unapoitazama sloti hii ya Foxpot, utashangazwa wapi hizi shilingi zinatoka. Jibu ni rahisi sana, sloti hii ya Foxpot inakujia na Jackpoti tatu kubwa na Mbweha akiwa kama alama…

Read More

MZEE WA KUCHETUA BM ZALI LAKE LIPO HAPA

KIUNGO mshambuliaji ndani ya kikosi cha Yanga, Bernard Morrison ana zali na Coastal Union akiwa na uzi wa timu mbili tofauti kwa kuwatungua bao lake la kwanza.  Raia huyo wa Ghana, msimu wa 2021/22 alikuwa akivaa uzi wenye rangi nyekundu na nyeupe alipokuwa ndani ya kikosi cha Simba na msimu huu wa 2022/23 uzi wake…

Read More

KOCHA YANGA AITAMANI REKODI YA SIMBA CAF

KOCHA wa makipa wa Yanga, Mbrazili, Milton Nienov, ameweka wazi kuwa, ndoto yake ni kuona anafikia rekodi aliyoiweka akiwa na Simba ya kufika angalau robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu. Mbrazili huyo ameweka wazi kuwa, wana nafasi kubwa ya kufikia mafanikio hayo kutokana na ubora wa kikosi walichonacho msimu huu. Katika michuano…

Read More

KIUNGO MNIGERIA MAMBO SAFI SIMBA, MWENYEWE AZUNGUMZA

KOCHA Mkuu wa Simba, Mserbia, Zoran Maki, amebadili uamuzi na haraka amembakisha kiungo wake mkabaji, Mnigeria, Victor Akpan kwa ajili ya kuendelea kuicheza timu hiyo. Hiyo ikiwa ni siku moja tangu kocha huyo achukue uamuzi wa kuwaacha nyota wake watatu ambao John Bocco, Nassoro Kapama na Akpan. Akpan ni kati ya wachezaji ambao awali waliondolewa…

Read More

TATU ZA KIMATAIFA SIMBA KUCHEZA, KUIBUKIA SUDAN

KIKOSI cha Simba kitakuwa nchini Sudan kwa ajili michezo ya kimataifa ya kirafiki wakiwa wamealikwa kwenye michuano midogo iliyoandaliwa na Klabu ya Al Hilal. Mechi tatu za kimataifa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu itacheza wakati huu ligi ikiwa imesisimama kwa ajili ya mashindano ya CHAN, Zoran Maki akisaidiana na msaidizi mzawa Seleman Matola ni miongoni…

Read More

ROCK ‘N’ ROLL NA KUSHINDA OFA NA MIZUNGUKO YA BURE NA SLOTI NA FOREST ROCK

Sloti ya Forest Rock           Je, unajua kuwa wanyama pori wanaweza kukuletea ushindi? Ndio! Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet yote hayo yanawezekana. Meridianbet inakuletea sloti mpya yenye maudhui ya Rock ‘n’ Roll iliyotengenezwa na watengenezaji maarufu wa sloti- Expanse Studio iitwayo Forest Rock. Sloti ya Forest Rock ina muundo wa kizamani wenye kolamu…

Read More

KIUNGO TIMU YA TAIFA CHINI YA UANGALIZI MAALUMU

KIUNGO wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Abdul Suleiman, ‘Sopu’ yupo chini ya uangalizi wa madaktari ili kuweza kurejea kwenye ubora wake. Kiungo huyo ni mali ya Azam FC alipata maumivu akiwa na timu yake ya Azam baada ya kurejea kutoka Misri walipokuwa wameweka kambi. Kiungo huyo ni miongoni mwa nyota walioitwa na…

Read More

SIMBA QUEENS YAFANYA KWELI KIMATAIFA

USHINDI wa mabao 5-1 dhidi ya AS Kigali umewapa nafasi Simba Queens kutinga hatua ya Fainali Ligi ya Wanawake Afrika Ukanda wa CECAFA. Kwenye mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex timu zote zilikuwa zinasaka ushindi ili kuweza kupata matokeo na kuweza kusonga mbele. Shukrni kwa mabao ya Vivian Carozone aliyefunga mawili, Opah Clement alitupia…

Read More

KIUNGO YANGA KUIBUKIA GEITA GOLD

NYOTA wa zamani wa Yanga, Said Ntibanzokiza anatajwa kumalizana na Klabu ya Geita Gold inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara. Nyota huyo ambaye alijenga pacha matata na Fiston Mayele alisepa ndani ya kikosi hicho mwishoni mwa msimu wa 2021/22 baada ya kandarasi yake kugota ukingoni. Ni dili la miaka miwili anatajwa kupewa nyota huyo ambaye ni…

Read More

MASTAA 10 KUTOKUWA NDANI YA GEITA GOLD

UONGOZI wa Geita Gold umeweka wazi kuwa makubaliano ya kuachana na wachezaji wao yamezingatia utaratibu kwa kuwa wanaheshimu mikataba ya wachezaji wao.  Timu hiyo imetangaza kuachana na wachezaji saba na kufikisha idadi ya wachezaji 9 ambao wameondoka katika kikosi hicho.  Wachezaji ambao hawatakuwa ndani ya Geita Gold ni pamoja na  Maka Edward, Ramadhan Athuman Teleza, Pius…

Read More