
VIDEO:NABI:DABI ILIKUWA YAKIMBINU,TULIWAPA KUJIAMINI KUCHEZA
NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa mchezo wa Dabi dhidi ya Simba haukuwa rahisi wanawapa pongezi kwa kuwa walikuwa na mchezo mzuri jambo ambalo linapandisha thamani ya ligi ya Tanzania na ulikuwa ni mchezo wa mbinu