SIMBA KUMENYANA NA BIG BULLETS

WASHINDI namba mbili wa Tanzania kwenye Ligi Kuu Bara, Simba wataanza ugenini kumenyana na Big Bullets ya Malawi. Hiyo itakuwa ni kwenye hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika inayotarajiwa kuchezwa kati ya Septemba 9-11. Mshindi wa mchezo huo anaweza kukutana na mshindi wa mchezo kati ya Red Arrows ama De Agosto ya Angola….

Read More

YANGA KIMATAIFA KUANZA NA ZALAN FC

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika watamenyana na Zalan FC. Droo hiyo imepangwa leo Agosti 9 makao makuu ya Shirikisho la Soka Afrika, (CAF) nchini Misri. Mechi hizo zinatarajiwa kuchezwa kati ya Septemba 9-11 ambapo Yanga itaanzia ugenini. Mshindi wa mchezo huo ana kibarua cha kusaka ushindi kwa mshindi…

Read More

CAF KUFANYA MKUTANO WAKE ARUSHA

KESHO Agosti 10,2022 mkutano mkuu wa CAF unatarajiwa kufanyika Arusha,mahali ambapo upo mlima Kilimanjaro ambao ni namba moja kwa urefu Afrika. Mkutano huo ni wa 44 unatarajiwa kufanyika mapema asubuhi ya kesho hapo Arusha. Wiki hii Arusha itajumuisha nchi 51 ambazo zitashiriki mkutano huo wa 44 ambao ni mkubwa na utahudhuriwa na viongozi mbalimbali. Taarifa…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA YANGA MSIMU WA 2022/23

HII hapa orodha ya wachezaji wa kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu,Nasreddine Nabi pamoja na jezi namba zao zipo namna hii:-  Djigui Diarra -39 Bakari Mwamnyeto-30 Aboutwalib Mshery-28 Eric Johora-38 Kibwana Shomari-15 David Bryson-22 Abdalah Shaibu-23 Ibrahim Bacca-2 Dickson Job-5 Zawad Mauya-20 Dennis Nkane-16 Yusuph Athuman-14 Crispin Ngushi-30 Khalid Aucho-8 Djuma Shaban-21 Salim Aboubhakari-18…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA MSIMU WA 2022/23

KIKOSI cha Simba msimu wa 2022/23 ambacho kilitambulishwa Agosti 8/2022 kwenye kilele cha Simba Day ambapo walicheza mchezo wa kirafiki dhidi ya St George na Simba ilishinda mabao 2-0. Ally Salim-1 Beno Kakolanya-30 Aishi Manula-28 Israel Mwenda-5 Shomari Kapombe-12 Gadiel Michael-2 Mhamed Hussein-15 Nassoro Kapama-35 Erasto Nyoni-18 Kennedy Juma-26 Joash Onyango-16 Mohamed Ouattra-33 Henock Inonga-29…

Read More

AZAM WAREJEA BONGO NA LEO WANAANZA KAZI

 BAADA ya kikosi cha Azam FC kurejea Agosti 8 kutoka Misri ambapo kilikuwa kimeweka kambi,leo Agosti 9 wachezaji wa timu hiyo wanatarajiwa kuendelea na mazoezi kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2022/23. Azam FC ilikuwa ni timu ya pili kutoka Tanzania kuweka kambi nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa 2022/23….

Read More

NABI APIGA HESABU ZA NGAO YA JAMII DHIDI YA SIMBA

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kupoteza mchezo wa kimataifa dhidi ya Vipers SC ni njia kwake kuweza kushinda Ngao ya Jamii dhidi ya Simba.  Agosti 6,2022 Yanga ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-0 dhidi ya Vipers ina kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Simba,Agosti 13, Uwanja wa Mkapa. Mchezo huo ulikuwa ni wa…

Read More

KWENYE JUMUIYA YA MADOLA TANZANIA IMEPATA MEDALI

TANZANIA imehitimisha ushiriki wake katika Michezo ya 22 ya Jumuiya ya Madola  jijini Birmingham, Uingereza, ikiwa katika nafasi ya 28 baada ya mategemeo yake manne ya mwisho kushindwa kuambulia chochote. Kwanza alianza bondia Yusuf Lucasi Changalawe kwa kupambana na  Sean Lazzerini wa Scotland katika nusu finali ya kwanza ya uzani wa 75kg-80kg (Light Heavyweight )…

Read More