Home Sports VIDEO:TAZAMA MASTAA WA SIMBA PHIRI,INONGA NDANI YA MISRI

VIDEO:TAZAMA MASTAA WA SIMBA PHIRI,INONGA NDANI YA MISRI

MASTAA watano wa Klabu ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu Zoran Maki wamewasili nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu wa 2022/23.

Ni Taddeo Lwanga,Peter Banda,Moses Phiri,Henock Inonga na Nassoro Kapama ilikuwa ni Julai 18 na walianza mazoezi pamoja na mastaa wengine ikiwa ni pamoja na John Bocco,Meddie Kagere

Previous articleKAMBI YA YANGA RAMANI INACHORWA HIVI
Next articleSIMBA DAY NI AGOSTI 8,2022