Home Sports VIDEO:CHICO USHINDI,YACOUBA OUT YANGA

VIDEO:CHICO USHINDI,YACOUBA OUT YANGA

MASTAA wawili ndani ya Yanga, Chico Ushindi na Yacouba Songne hawatakuwa kwenye mpango wa kikosi hicho kwa msimu wa 2022/23 ambapo leo Julai 19,2022 Ofisa Habari wa Yanga, Haji Manara ameweza kuzungumzia suala hilo

Previous articleSIMBA DAY NI AGOSTI 8,2022
Next articleSAUTI:YANGA V SIMBA NI NOMA VIKOSI VYAO