
MTIBWA SUGAR WAAMBULIA KICHAPO,POLISI WAPETA
HAMSINI Malale, Kocha Mkuu wa Polisi Tanzania amesema kuwa anashukuru kwa ushindi aliopata mbele ya Mtibwa Sugar kwa ushindi wa mabao 2-0 kwenye mchezo wa ligi. Kwa upande wa kocha msaidizi wa Mtibwa Sugar, Awadh Juma amesema kuwa sababu ya kushindwa kupata matokeo ni uwanja. Ilikuwa ni mabao ya Datius Peter dk ya 43 kwa…