NABI:TUTASHINDA MBELE YA PRISONS

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanaga amesema kuwa kuelekea mchezo wao wa ligi dhidi ya Tanzania Prisons wanaamini kwamba watashinda. Leo Mei 9, vinara hao wa ligi wanatarajia kusaka pointi tatu mbele ya Prisons ambao nao wanahitaji pointi hizo, Uwanja wa Mkapa. Maandalizi ya mwisho ameweka wazi kwamba yamekamilika na miongoni mwa wachezaji ambao walikuwa…

Read More

KMC WAIVUTIA KASI MTIBWA SUGAR

KIKOSI cha KMC FC leo Mei 9 kimeanza mazoezi kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa ligi dhidi ya Mtibwa Sugar utakaopigwa Alhamisi ya Mei 12 katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam. Timu hiyo ya Manispaa ya Kinondoni chini ya Kocha Mkuu, Thierry Hitimana inajiandaa na mchezo huo muhimu ikiwa nyumbani na hivyo…

Read More

MAYELE AWAKIMBIZA TANZANIA PRISONS

WAKATI leo kikosi cha Tanzania Prisons ikiwa na kazi ya kuikabili Yanga,safu yake ya ushambuliaji inaonekana kuwa pasua kichwa kwenye utupiaji. Ikiwa imecheza jumla ya mechi 22 ni mabao 15 imeweza kufunga ndani ya ligi katika dakika 1,980 ikiwa na wastani wa kufunga bao moja kila baada ya dk 132. Kinara wa utupiaji wa mabao…

Read More

GUADIOLA:TUMESHINDA LAKINI WATU WANAIPENDA LIVERPOOL

PEP Guardiola, Kocha Mkuu wa Manchester City amesema kuwa amepata pointi tatu lakini anaamini kwamba watu wengi hawapendi. Manchester City iliwatungua mabao 5-0 Newcastel United kwenye mchezo wa Ligi Kuu Engand uliochezwa Uwanja wa City Of Manchester. Raheem Sterling alifunga mabao mawili ilikuwa dk 19,90+3,Aymeric Laporte alitupia dk ya 38,Rodri dk 61 na Phil Foden…

Read More

KICHUYA APELEKWA YANGA

WAKATI ikitajwa kwamba mabosi wa Simba wanalijadili jina la Shiza Ramadhan Kichuya kwenye usajili wao msimu ujao, baba mzazi wa kiungo huyo, Ramadhan Kichuya amebainisha kwamba, anataka kumuona kijana wake akijiunga na Yanga SC. Baba Kichuya amesema mwanawe huyo atakuwa na wakati mzuri zaidi akiichezea Yanga na siyo Simba ambayo amekuwa na mapenzi nayo kwa…

Read More

MECHI 100 ZA BABA ESTER SOMO KUBWA KWA WENGINE

MECHI 100 kwa Shomari Kapombe akiwa na Simba tokea 2018 ni kazi kubwa ambayo ameifanya mkongwe huyu mwenye uwezo wa kupanda na kushuka. Yes, kwanza tuwapongeze Simba angalau kukumbuka wana mchezaji amecheza mechi idadi hiyo. Kwa kufanya hivyo itawaumbusha na wengine waweze kutambua kwamba kuna wachezaji wao wamecheza mechi ngapi na itawapa heshima kutamua mchango…

Read More

SIMBA YATAJWA SARE ZA YANGA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi sababu kubwa ya kupata sare katika michezo yao miwili mfululizo iliyopita ni uchovu ambao wachezaji wao walikuwa nao, kutokana na kutumia nguvu kubwa ya kujiandaa na kucheza mchezo wao wa Dabi ya Kariakoo dhidi ya Simba uliopigwa Jumapili iliyopita. Aprili 30,2022wababe haowalikutana uwanjani kwenye mchezo wa ligi na kugawana pointi…

Read More

VILE PUMZI YA MOTO ITAVUTWA LEO UWANJA WA MKAPA

ILE pumzi ya moto itavutwa kwelikweli kwa wababe wawili wanaotarajiwa kukutana leo Uwanja wa Mkapa,Simba v Ruvu Shooting. Ikumbukwe kwamba wababe hawa hawajawa kwenye mwendo unaopendeza hivyo kila mmoja atakuwa anatafuta sehemu ya kutokea na haya yatafanya pumzi ivutwe namna hii:- Dakika 270 bila tabasamu Wababe hawa wanakutana wakiwa wametoka kukamilisha dk 270 ambazo ni…

Read More

VIUNGO WA KAZI CHAMA NA SADIO KUIKOSA RUVU SHOOTING

LEO Jumapili ya Mei 8,2022 Simba ikitarajiwa kucheza dhidi ya Ruvu Shooting, inatarajiwa kuwakosa Clatous Chama na Sadio Kanoute ambao ni majeruhi.  Meneja wa Simba, Patrick Rweyemamu ameweka wazi kwamba nyota hao hawapo fiti kutokana na kusumbuliwa na majeraha.  “Tuna majeruhi wawili ambao hawatacheza mechi yetu ambao ni Sadio Kanoute na Clatous Chama.” Huu ni…

Read More

PABLO KUBADILI MBINU LEO KUIKABILI RUVU SHOOTING

KOCHA Mkuu wa Simba SC, Pablo Franco, ameamua kubadili mbinu kuhakikisha kikosi chake kinarudisha furaha kwa mashabiki na kumaliza msimu vizuri, huku akianza jambo hilo katika mchezo wa leo Jumapili dhidi ya Ruvu Shooting utakaochezwa Uwanja wa Mkapa, Dar. Katika hilo, Pablo ameamua kuunda vikosi viwili ambavyo vitakuwa na uwezo wa kucheza mechi kulingana na…

Read More

AZAM FC YAIMALIZA KMC,YAKWEA PIPA

BAADA ya ushindi wa mabao 2-1 ambayo waliyapata jana Mei 7,2022 kwenye mchezo wa ligi dhidi ya KMC leo Mei 8 kikosi cha Azam FC kimekwea pipa kuelekea Mbeya. Mabao mawili ya Rodgers Kola yalitosha kuipa pointi tatu Azam FC kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Azam Complex. Kwa KMC ni bao la nyota…

Read More

SOKA LA UFUKWENI LINAZIDI KUSHIKA KASI

LIGI ya Soka la Ufukweni inaendelea kushika kasi ambapo kila timu imekuwa ikifanya yake kwenye msako wa pointi tatu. Jana Mei 7,2022 timu nne zilikuwa uwanjani kusaka ushindi kwenye mechi ambazo walicheza huku mashabiki wakijitokeza kwa wingi. Ni kwenye Viwanja vya Fukwe za Coco Beach ambapo wachezaji hao wanasaka ushindi ili kuweza kufikia malengo yao….

Read More

CHAMPIONSHIP KITAWAKA LEO

JKT Tanzania leo itakuwa na kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Ihefu kwenye mchezo wa Championship unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Highland Estate. Kwenye msimamo JKT Tanzania inashika nafasi ya nne kwenye msimamo ikiwa imekusanya pointi 47 kwenye michezo 27. Ihefu ipo nafasi ya pili ikiwa na pointi 59 na imecheza pia michezo 27 ndani…

Read More