LIVERPOOL MABINGWA MBELE YA CHELSEA FA

LIVERPOOL inayonolewa na Kocha Mkuu, Jurgen Klopp imeweza kushinda taji la FA kwenye mchezo uliokuwa na mvutano mkubwa mwanzo mwisho. Ubao wa Uwanja wa Wembley baada ya dk  90 kukamilika ulisoma 0-0, zikaongezwa 30 ambazo nazo zilimalizika kwa matiokeo hayohayo. Liverpool wamelinyakua kombe hilo ikiwa ni mara ya pili mfululizo baada ya kulinyakua tena katika…

Read More

SIMBA YATINGA NUSU FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO

MABINGWA watetezi wa Kombe la Shirikisho,Simba wamefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali baada ya kuweza kushinda mchezo wao leo mbele ya Pamba ya Mwanza.  Uwanja wa Mkapa umesoma Simba 4-0 Pamba baada ya dakika 90 za nguvu kukamilika kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali. Ni mabao ya Peter Banda dk 45,Kibu Dennis alitupia  dk…

Read More

JEMBE JIPYA YANGA LINASUBIRI MUDA TU

BEKI wa kushoto wa timu ya taifa ya Uganda, Mustafa Kiiza, ambaye amemalizana na Yanga, amewataja wachezaji Hamisi Kiiza na Khalid Aucho kuwa sababu ya yeye kushawishika kujiunga na klabu hiyo. Kiiza ambaye alikuwa akikipiga katika Klabu ya Montreal ya nchini Marekani, kwa sasa ni mali ya Yanga mara baada ya wakala wake kuthibitisha kuwa…

Read More

PAMBA YATAKA KUITIBULIA SIMBA

KOCHA Msaidizi wa Pamba, Yangoo Mamboleo amesema kuwa wanatambua mchezo wa leo utakuwa mgumu lakini wataingia kwa tahadhari ili kuweza kushinda. Pamba itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Simba ambao nao wanahitaji ushindi kwenye mchezo huo amao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. “Tupo tayari kwa ajili ya mchezo wetu na tunatambua kwamba ushindani…

Read More

SIMBA YABAKISHA DAKIKA 90 KUKUTANA NA YANGA

PABLO Franco,Kocha Mkuu wa Simba kwa sasa ana dakika 90 za kuweza kuamua kama ataweza kukutana na Yanga kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho. Baada ya kukamilisha kete yake mbele ya Kagera Sugar,Mei 11 na kushinda mabao 2-0 sasa kituo kinachofuata ni mbele ya Pamba mchezo wa Kombe la Shirikisho….

Read More

UBUTU WA VIGOGO BONGO DK 270,SIMBA,YANGA,AZAM

VIGOGO wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa nyakati tofauti wote walipitia kwenye ubutu wa washambuliaji kwenye mechi tatu mfululizo ambazo ni dk 270 Ni mabingwa watetezi Simba chini ya Kocha Mkuu,Pablo Franco waliweza kucheza bila kufunga kwenye mechi tatu mfululizo sasa kisha ikawa kwa Azam FC imefika na sasa ni Yanga. Rekodi zinaonyesha Simba mechi…

Read More

MAYELE ATANGAZA HALI YA HATARI YANGA

MAKAMU Mwenyekiti wa Yanga, Frederick Mwakalebela, ameweka wazi kuwa licha ya kupoteza mkwaju wa penati katika mchezo dhidi ya Tanzania Prisons Jumatatu iliyopita, straika wao, Fiston Mayele hana presha yoyote na amejipanga kuwanyamazisha wakosoaji wake kwa kufunga mabao mengi zaidi kwenye michezo ijayo. Jumatatu wiki hii Yanga wakiwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es…

Read More

KOCHA NABI APIGA MKWARA KUHUSU UBINGWA

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mtunisia, Nasreddine Nabi, amewaondoa hofu mashabiki wa timu hiyo, kwa kuwaambia waache presha anajua jambo la kufanya ili kuweza kutwaa ubingwa wa ligi. Kauli hiyo ameitoa mara baada ya wapinzani wao Simba walio nafasi ya pili wakiwa na pointi 49 kupata matumaini ya kutetea ubingwa kufuatia Yanga kupata suluhu tatu mfululizo….

Read More

PABLO ATUMA UJUMBE HUU KWA PAMBA

PABLO Franco,Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo wa hatua ya robo fainali dhidi ya Pamba. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, saa 1:00 usiku na mshindi wa mchezo anakwenda kukutana na Yanga hatua ya nusu fainali. Pablo amesema kuwa kuna ushindani mkubwa ambao upo kwenye Kombe…

Read More

KIUNGO WA KAZI APEWA MWAKA MMOJA YANGA

KIUNGO mshambuliaji mkongwe Mrundi, Said Ntibanzokiza ‘Saido’, amepewa mkataba wa mwaka mmoja wenye masharti magumu katika Klabu ya Yanga. Mrundi huyo ambaye anasubiria utambulisho hivi sasa, hivi karibuni aliongeza mkataba wa mwaka mmoja wa kuichezea timu hiyo utakaomalizika 2023. Saido ni kati ya wachezaji ambao mikataba yao ilikuwa inatarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu akiwa…

Read More

DODOMA V YANGA KUPIGWA SAA 10:00 JIONI

MECHI ya Yanga dhidi ya Dodoma Jiji ambayo inatarajiwa kuchezwa Jumapili, Uwanja wa Jamhuri imebadilishwa muda kutoka ule uliopangwa awali. Awali ilikuwa ni saa 1:00 usiku mchezo huo wa ligi uchezwe na sasa unatarajiwa kuchezwa saa 10:00 jioni. Sababu za mchezo huo kubadilishwa muda ni kutokana na uwanja huo kuwa na matumizi mengine. Tayari timu…

Read More