FEISAL ALINYOOSHWA MBELE YA KMC

KIUNGO wa Yanga, Feisal Salum alikiona cha moto juzi wakati timu yake ikishinda kwa mabao 2-0 dhidi ya KMC kutokana na kuchezewa faulo za kutosha. Rekodi zinaonyesha kwamba Fei alichezewa jumla ya faulo 4 zote ilikuwa ni kipindi cha kwanza jambo lililofanya ashindwe kuwa kwenye mwendo ambao alikuwa ameuzoea. Alikuwa kwenye vita kali na nyota…

Read More

MOTO ULIVURUGA MAMBO AJAX V FEYENOORD

ILITOKEA hali ambayo ilisababisha mchezo kati ya Ajax v Feyenoord kuchelewa kuanza kwa muda kutokana na tukio la moto kutokea upande mmoja katibu na lango la timu moja. Ajax ilipoteza katika mchezo huo uliochezwa Jumapili katika Uwanja wa Johan Cruyff Arena. Baada ya mchezo huo kuanza na kuchezwa ubao ulisoma Ajax 3-2 Feyenoord na ni…

Read More

DUBE AMPIGA MKWARA MAYELE

STRAIKA wa Azam FC, Prince Dube, amesema kwa sasa anahitaji kufunga mfululizo ili kuisaidia timu yake kumaliza ligi kwenye nafasi nzuri na kuwania Tuzo ya Ufungaji Bora msimu huu. Dube aliyasema hayo baada ya kufanikiwa kufunga bao lake la kwanza msimu huu wakati Azam FC ikiibuka na ushindi wa mabao 1-2 dhidi ya Namungo kwenye…

Read More

MORRISON:TUNAFUZU,TUNAJIAMINI

BERNARD Morrison, kiungo wa Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco amesema kuwa wanaamini kwamba watafuzu hatua ya robo fainali Kombe la Shirikisho. Kichapo cha mabao 3-0 mbele ya ASEC Mimosas jana Machi 20,2022 kiliyeyusha matumaini ya Simba kutangulia katika hatua ya robo fainali hivyo wana kazi ya kufanya Uwanja wa Mkapa. “Tunajiamini, tunajiamini na…

Read More

YANGA WATUPA DONGO KIMTINDO SIMBA KISA KICHAPO

BAADA ya wawakilishi wa kimataifa katika Kombe la Shirikisho, Simba kufungwa 3-0 dhidi ya ASEC Mimosas watani zao wa jadi Yanga wametupa jiwe gizani kimyakimya. Kupitia Insta yao waliachia picha ya Djuma Shaban akiwa mwenye kicheko na kuuliza..wawakilishi wa nini..au basi… Haji Manara Ofisa Habari wa Yanga aliweza kudondosha maoni yake kwa kuandika labda wawakilishi…

Read More

BARCELONA YAICHAPA MABAO 4-0 REAL MADRID

WAKIWA Uwanja wa Santiago Bernabeu wameshuhudia ubao ukisoma Real Madrid 0-4 Barcelona. Pierre Aubameyang alitupua 2 dk 29 na 51,Ronald Araujo dk 38 na Ferran Torres dk 47. Mchezo huo wa El Clasico umiliki ulikuwa ni mali ya Barcelona ambao walikuwa na asilimia 60 huku Real Madrid wao ikiwa ni 40. Ushindi huo unaifanya Barcelona…

Read More

SAIDO KUIWAHI AZAM FC

SAID Ntibanzokiza kiungo wa Yanga ambaye alikuwa nje kwa muda kutokana na kutibu majeraha yake anatarajiwa kurejea kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Azam FC. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Aprili 6 utakuwa ni wa mzunguko wa pili Uwanja wa Mkapa. Kiungo huyo aliumia kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Kagera Sugar na alikuwa na jambo…

Read More

SALAH AINGIA ANGA ZA PSG NA BARCELONA

MOHAMED Salah mshambuliaji wa Liverpool anatajwa kuingia katika rada za PSG na Barcelona ambazo zinahitaji saini yake. Mkataba wake ndani ya Liverpool kwa sasa una uhai wa miezi 18 na unatarajiwa kumeguka 2023. Mpaka sasa hakujawa na taarifa yoyote kutoka Liverpool ambao walikaa naye mara ya mwisho Desemva mwaka jana kuhusu kuboresha mkataba wake. Staa…

Read More