WAWAKILISHI wa kimataifa Simba, jana Machi 20 walipoteza kwa kufungwa mabao 3-0 dhidi ya ASEC Mimosas kwenye mchezo uliochezwa nchini Benin mrembo wa Simba amebainisha kuwa wamefungwa kibingwa huku akimpa pongezi kipa namba moja wa Simba Aishi Manula ambaye aliokoa penalti mbili.