YANGA WAJA NA MFUMO MPYA WA UCHAGUZI

KLABU ya Yanga kwa sasa ipo kwenye mchakato wa uchaguzi ambapo imeweka wazi kuwa kutakuwa na mfumo mpya utakaotumika katika upigaji kura. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Yanga, Malangwe Mchungahela amesema kuwa yote hayo ni kutokana na mabadiliko ya katiba ambayo imepitishwa na wanachama. “Uchaguzi wa matawi unatakiwa kuanza Machi 18…

Read More

NG’OMBE WA MAYELE ATUA DAR LEO

SHABIKI wa Yanga  kutoka Morogoro aliyeahidi kumzawadia mchezaji Fiston Mayele Ng’ombe mmoja baada ya kufunga bao katika mechi dhidi ya Mtibwa Sugar, ametimiza ahadi na kumfikisha Ng’ombe huyo leo Machi 14, 2022. Ni katika makao makuu ya Klabu ya Yanga, Jangwani jijini Dar es Salaam zawadi imefika kwa ajili ya kutimiza ahadi ya muda kidogo….

Read More

DOMO LA FISTON LINAONYESHA ANASTAHILI KUWA SHABIKI

ANAANDIKA Saleh Jembe:- WAKATI Simba inapoteza 2-0 dhidi ya Berkane kule Morocco, Fiston Abdullazak alikuwa jukwaani kabisa. Wakati Simba ikishinda 1-0 pale kwa Mkapa dhidi ya Berkane, alipata bahati angalau ya kuwa benchi. Ajabu sana mchezaji huyu ambaye aliachwa na Yanga kutokana na kiwango duni alisajiliwa Berkane (Amini suala la bahati lipo), jiulize vipi timu…

Read More

KIUNGO SAIDO YAMKUTA YANGA

KIUNGO mshambuliaji tegemeo wa Yanga hivi sasa, Mrundi Saidi Ntibanzokiza ‘Saido’ ameondolewa kwenye mipango ya kocha mkuu wa timu hiyo, Nasreddine Nabi kwa muda wiki tatu kutokana na tatizo la goti. Hiyo itamfanya akose mchezo ujao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC FC utakaochezwa Machi 19, mwaka huu kwenye Uwanja Mkapa, Dar.  Daktari wa…

Read More