USIKU wa kuamkia leo Barcelona imeibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Athletic Club.
Mabao ya Pierre Aubameyang dk 37,Ousmane Dembele dk 73, Luuk de Jong dk 90 na Memphis Depay dk 90+3 yalitosha kuipa pointi tatu Barcelona.
Ilikuwa ni katika Uwanja wa Camp Nou mambo yote hayo yamefanyika.
Inakuwa na pointi 45 baada ya kucheza mechi 25 nafasi ya 4 na Athletic Club ipo nafasi ya 8 na pointi 37 baada ya kucheza mechi 26 ndani ya La Liga.
Related News
Team Canada forward Jonathan David (#7) watches as his shot is saved by the Iceland goalkeeper during an international friendly match between Canada and Iceland at BMO Field in Toronto, Ontario, Canada, on March 28, 2026. (Photo by Indrawan Kumala/NurPhoto) (Photo by Indrawan Kumala / NurPhoto via AFP)