>

TANZANITE WAREJEA DAR SALAMA WAKITOKEA ETHIOPIA

TIMU ya taifa ya Wanawake chini ya miaka 20, Tanzanite Queens leo Februari 5 imerejea salama Tanzania ikitokea nchini Ethiopia ambapo ilikuwa na kazi ya kuipeperusha bendera  kwenye mashindano ya kimataifa. Jana ilikuwa kwenye mchezo wa pili dhidi ya Ethiopia baada ya ule wa awali uliochezwa Uwanja wa Amaan ubao kusoma Tanzanite 1-0 Ethiopia na…

Read More

JUKUMU LA PETER BANDA HILI HAPA

SIMBA imeweka wazi kuwa mara baada ya kiungo mshambuliaji wao, Peter Banda kurejea nchini akitokea Cameroon alipokuwa na kibarua cha kuiwakilisha Malawi kwenye mashindano ya Afcon, moja kwa moja atajiunga na programu za maandalizi ya michezo ijayo hususani mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast. Katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, Simba imepangwa kwenye Kundi D pamoja na timu za…

Read More

MASTAA SENEGAL WAITAKA AFCON

SADIO Mane na Edouard Mendy wamesema kuwa Senegal wamepania kutwaa ubingwa wa Afcon 2021 ili kumpunguzia presha kocha wao Aliou Cisse. Senegal ambao walifika fainali katika Afcon iliyopita ya 2019 walikuwa miongoni mwa timu zilizopewa nafasi ya kuweza kufika fainali mwanzoni kabisa mwa mashindano haya. Ilishinda mechi ya kwanza kwa tabu dhidi ya Zimbabwe kisha…

Read More

AUBA:TATIZO NI ARTETA

PIERRE Emerick Aubameyang amethibitisha kwamba Kocha Mkuu, Mikel Arteta ndiyo sababu ya yeye kuondoka ndani ya Arsenal ambao wataendelea kumlipa pauni 230,000 kwa wiki hadi msimu huu. Auba alitangazwa kuwa mchezaji mpya wa Barcelona juzi baada ya kukamilisha usajili wake akiwa huru. Kabla ya kuvunja mkataba wake uliomuweka huru, Arsenal ilikubaliana naye kumlipa pauni milioni…

Read More

MORRISON ATAJWA KUIBUKIA YANGA

KIUNGO mshambuliaji wa Kimataifa raia wa Ghana, anayekipiga ndani ya Klabu ya Simba, Bernard Morrison amemamisha kwa muda hadi suala lake la kinidhamu litakapo patiwa ufumbuzi. Kwa mujibu wa taarifa rasmi ya klabu hiyo, Morrison amekuwa na tabia ya kutoka kambini bila ruhusa kinyume na taratibu Aidha ametakiwa kutoa maelezo ya maandishi kwa Mtendaji Mkuu…

Read More

NDEMLA MAMBO MAGUMU MTIBWA SUGAR

KIUNGO wa Mtibwa Sugar, Said Ndemla mambo kwake yamekuwa magumu ndani ya Mtibwa Sugar kwa sasa kwa kwa tangu alipofunga bao Desemba 12/2021 mpaka leo hajaweza kufurukuta tena kwa kufunga wala kutoa pasi ya bao. Ndemla upo hapo kwa mkopo ambapo alijiunga na timu hiyo akitokea kikosi cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Pablo Franco….

Read More