KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA MBAO FC

LEO Januari 29 Yanga itakuwa kwenye kazi ya kusaka ushindi mbele ya Mbao FC ambayo nayo pia inaska ushindi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya 32 bora, Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza.

Hiki hapa kikosi cha Yanga kinachotarajiwa kuanza mchezo unatarajiwa kuchezwa saa 10:00 jioni:-

Mshery Aboutwalib

Paul Godfrey

Yassin

Bakari Mwamnyeto

Dickson Job

Zawad Mauya

Sure Boy

Jesus Moloko

Ambundo

Farid Mussa

Fiston Mayele

Akiba

Johora

Bryason

Bacca

Balama

Ngushi

Ushindi

Nkane

Kaseke