Skip to content
Thursday, July 16, 2026
  • Hapa ndipo kambi ya Yanga SC itakapokuwa
  • Msichana wa Maisha Yangu ipo mezani tayari
  • Mabingwa Watetezi Argentina Kupambana na England Kwa Tiketi ya Fainali leo
  • Hispania Yatinga Fainali ya Kombe la Dunia kwa Kuifunga Ufaransa 2-0

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Hapa ndipo kambi ya Yanga SC itakapokuwa
  • Msichana wa Maisha Yangu ipo mezani tayari
  • Mabingwa Watetezi Argentina Kupambana na England Kwa Tiketi ya Fainali leo
  • Hispania Yatinga Fainali ya Kombe la Dunia kwa Kuifunga Ufaransa 2-0

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2022
  • January
  • 8
  • SIMBA QUEENS YAIPIGA YANGA 4G
  • Sports

SIMBA QUEENS YAIPIGA YANGA 4G

Saleh5 years ago01 mins

SIMBA Queens imeibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Yanga Princess katika mchezo wa Ligi ya Wanawake.

Mchezo huo umechezwa leo Januari 8, Uwanja wa Mkapa na Simba Queens imesepa na pointi zote tatu.

Mchezo ujao utakuwa ni wa mzunguko wa pili na unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mo Simba Arena.

Post navigation

Previous: NYOTA BARCELONA ASAINI ASTON VILLA
Next: MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI

Related News

Mabingwa Watetezi Argentina Kupambana na England Kwa Tiketi ya Fainali leo

Saleh14 hours ago 0

Hispania Yatinga Fainali ya Kombe la Dunia kwa Kuifunga Ufaransa 2-0

Saleh19 hours ago 0

France na Spain Kukutana Leo Katika Nusu Fainali ya Kombe la Dunia 2026, Mbappé na Yamal Waandika Sura Mpya

Saleh2 days ago19 hours ago 0

Mashabiki wa Norway Waandika Historia Kwa Mapokezi ya Ajabu Baada ya Kombe la Dunia

Saleh2 days ago 0
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.