Skip to content
Saturday, June 20, 2026
  • Australia Kutafuta Ushindi wa Kihistoria Dhidi ya USA Kombe la Dunia leo
  • Hospitali ya Kinondoni Yapokea Msaada Kutoka Meridianbet
  • Ruto Aialika Arsenal Kutembelea Kenya Baada ya Sherehe Kubwa za Ubingwa
  • Waamuzi Mabena na Komba Wasimamishwa Mechi Tano, Simba Yapigwa Faini ya Milioni 10

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Australia Kutafuta Ushindi wa Kihistoria Dhidi ya USA Kombe la Dunia leo
  • Hospitali ya Kinondoni Yapokea Msaada Kutoka Meridianbet
  • Ruto Aialika Arsenal Kutembelea Kenya Baada ya Sherehe Kubwa za Ubingwa
  • Waamuzi Mabena na Komba Wasimamishwa Mechi Tano, Simba Yapigwa Faini ya Milioni 10

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2022
  • January
  • 8
  • SIMBA QUEENS YAIPIGA YANGA 4G
  • Sports

SIMBA QUEENS YAIPIGA YANGA 4G

Saleh4 years ago01 mins

SIMBA Queens imeibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Yanga Princess katika mchezo wa Ligi ya Wanawake.

Mchezo huo umechezwa leo Januari 8, Uwanja wa Mkapa na Simba Queens imesepa na pointi zote tatu.

Mchezo ujao utakuwa ni wa mzunguko wa pili na unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mo Simba Arena.

Post navigation

Previous: NYOTA BARCELONA ASAINI ASTON VILLA
Next: MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI

Related News

Australia Kutafuta Ushindi wa Kihistoria Dhidi ya USA Kombe la Dunia leo

Saleh9 hours ago 0

Ruto Aialika Arsenal Kutembelea Kenya Baada ya Sherehe Kubwa za Ubingwa

Saleh1 day ago 0

Waamuzi Mabena na Komba Wasimamishwa Mechi Tano, Simba Yapigwa Faini ya Milioni 10

Saleh1 day ago 0

Yanga Yarejea Kileleni Baada ya Kuizamisha Fountain Gate Arusha

Saleh1 day ago 0
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.