NABI:MIMI NI MTU WA KAZI SIO MANENOMANENO

NASREDDINE Nabi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa yeye ni mtu wa mpira na hapendi manenomaneno. Timu hiyo kwa sasa inaendelea na maandalizi kuelekea katika mchezo wa Kariakoo Dabi ambao unasubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki pamoja na wadau wa mpira. Yanga iliyo nafasi ya kwanza na pointi 19 inatarajiwa kumenyana na Simba iliyo…

Read More

ATLETICO YAFUZU UEFA, SUAREZ HAAMINI

ATLETICO Madrid imefanikiwa kufuzu kwenda hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Porto huku staa wake Luis Suarez akiwa haamini anachokiona na kumwaga machozi baada ya kuumia na kutolewa uwanjani. Atletico ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao hayo 3-1 katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Do…

Read More