CHEKA,ALKASUSU WAPIMA UZITO,LEO VITASA VINAPIGWA

Cheka, Alkasusu wapima uzito, kupasuana leo MABONDIA Cosmas Cheka na Muhsini Swalehe ‘Alkasusu’ wamepima uzito jana tayari kwa pambano la ubingwa wa taifa wa TPBRC litakalopigwa leo kwenye Uwanja wa Kinesi, Dar. Mabondia wamepima uzito katika pambano hilo ambalo limeandaliwa na kampuni ya Grobox Sports Promotion lililopewa jina la Usiku wa Mishindo ambapo kiingilio cha…

Read More

NTIBAZONKIZA ATUMA UJUMBE HUU SIMBA

SAID Ntibanzokiza, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa kuelekea katika mchezo wao wa Kariakoo Dabi dhidi ya Simba wapi tayari. Kiungo huyo alianza katika kikosi cha kwanza kulichoibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mbeya Kwanza ameanza kuingia kwenye mfumo wa Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi. Katika mabao hayo mawili nyota huyo alifungua…

Read More

SALAH AWASHA MOTO HUKO ATUPIA MBILI

LICHA ya Mohamed Salah, raia wa Misri kukosa tuzo ya Ballon d’Or iliyokwenda kwa Lionel Messi raia wa Argentina anayekipiga ndani ya PSG,nyota huyo nali ya Liverpool ameendelea kukiwasha. Katika mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Everton alichaguliwa kuwa nyota wa mchezo baada ya kufunga mabao mawili katika ushindi wa mabao 4-1. Mabao ya…

Read More

MAKAMBO ATAJA SABABU YA KUTOFUNGA,ASHUSHA PRESHA

HERITIER Makambo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa sababu ya kushindwa kufunga ndani ya Ligi Kuu Bara kwa wakati huu ni kutokana na muda kutofika ila ukifika atafunga tu.   Nyota huyo kwa msimu wa 2021/22 Yangaikiwa imecheza mechi 7 ndani ya ligi na yeye akicheza katika mechi tano hajaweza kufunga bao wala kutoa lasi pia…

Read More