VIDEO:FIFA YAMTEUA SALEH JEMBE,SAKATA LA MORRISON AFUNGUKA

MWANDISHI nguli kwenye sekta ya michezo wa magazeti ya Championi na Spoti Xtra, Saleh Ally, ‘Jembe’ amechaguliwa na Shirikisho la Kimataifa, (Fifa) kuwa mwandishi pekee kutoka Tanzania kupiga Kura kwenye Tuzo za Mchezaji Bora wa Fifa zinazotarajiwa kufanyika Januari 17,mwakani.