ASEC YATOA MASHARTI SANKARA ASAINI YANGA, BENCHIKHA BADO
ASEC yatoa masharti Sankara asaini Yanga, Benchikha: Bado sijaipata Simba ninayoitaka ndani ya Championi Ijumaa.
ASEC yatoa masharti Sankara asaini Yanga, Benchikha: Bado sijaipata Simba ninayoitaka ndani ya Championi Ijumaa.
TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars ipo tayari kwa ajili ya AFCON 2023 inayotarajiwa kufanyika Ivory Coast ambapo tayari imeshawasili kwa ajili ya maandalizi ya mwisho. Kocha Msaidizi wa Taifa Stars, Hemed Suleiman ameweka wazi kuwa kila mchezaji yupo tayari na wanaamini watafanya vizuri kwenye mechi ambazo watacheza. Stars ilifanya mazoezi Stade Auguste Denis…
KIGOGO Simba ameweka wazi kuwa bado wanaendelea na kufanya usajili ambapo kuna wachezaji wengine watatambulishwa pale usajili utakapokamilika. Ipo wazi kuwa tayari Simba imewatangaza wachezaji watatu na wote ni viungo ikiwa ni pamoja na Babacar Sarr, Saleh Karabaka na Chasambi.
Kila mtu amekuwa akiwa kupambana na maisha, vijana wengi wanawake kwa wanaume wako busy na harakati za mjini, kuna wengine ni wazee wa mishemishe yote kwa yote ili mkono uende kinywani. Sasa ngoja nikusogezee chimbo moja wapo linaloweza kukupatia mkwanja kila muda unapohitaji, ni ulimwengu maridhawa wa kasino ya mtandaoni kutoka Meridianbet. Kwenye ulimwengu huo…
INAPOPATIKANA nafasi uwanjani ni muhimu kwa wachezaji kuitumia kwa umakini. Wapo wale ambao walishindwa kuonyesha uimara kila walipopata nafasi mwisho wakapoteza kila kitu. Maisha ya mpira ni nafasi ya kucheza inapokosekana ni muhimu kwa wachezaji kuitafuta kwa kufanyia tathimini kile ambacho kinawafanya wawe benchi, hivyo tu. Tunaona kwenye mechi za Mapinduzi 2024 kuna wachezaji waliopata…
TAYARI wachezaji na benchi la ufundi la timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars wamewasili nchini Ivory Coast kwa ajili ya kushiriki AFCON 2023, hii ni kubwa sana na inapaswa kuchukuliwa kwa ukubwa. Hapa unaona kwamba kabla ya kuibukia Ivory Coast walicheza mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya taifa ya Misri na ilikuwa mechi…
AMEFAFANUA Meneja wa Idara ya Habari Simba namna ambavyo watawauza wachezaji wao pamoja na atakayebeba mikoba yao pindi watakapoondoka ndani ya timu hiyo wakati ujao.
OFISA Habari wa Yanga, Ali Kamwe ameweka wazi kuwa wanaamini kwamba watarejea kwenye mashindano ya Mapinduzi wakati mwingine wakiwa imara baada ya kupoteza nafasi ya kutwaa taji hilo 2024. Ipo wazi kwamba Yanga iliondolewa katika hatua ya robo fainali na APR kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali na wamerejea Bongo kwa maandalizi ya mechi…
FAINALI ya Mapinduzi 2024 inawakutanisha wote walioshinda kwa mikwaju ya penalti huku timu inayopoteza ikipeleka malalamiko kwa waamuzi. Ni Januari 13 mchezo huo unatarajiwa kuchezwa kwa wababe wawili waliopata zali la kushindwa kwa mikwaju ya penalti baada ya dakika 90 ngoma kuwa nzito kwa timu zote mbili. Ni Mlandege 0-0 APR FC ilikuwa Januari 9…
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa bado upo imara kwa ajili ya mashindano mengine licha ya kufungashiwa virago kwenye Kombe la Mapinduzi 2024. Ipo wazi kuwa Yanga iligotea hatua ya robo fainali baada ya kushuhudia ubao ukisoma Yanga 1-3 APR FC. Watakuwa mashuhuda wa fainali ya Mapinduzi 2024 wakiwa kwenye ardhi ya Bongo. Katika mechi…
MSENEGAL Bababacar Sarr kiungo mpya wa Simba ameanza balaa lake ndani ya Mapinduzi 2024 kwa kuonyesha kile kilichopo kwenye miguu yake. Nyota huyo anayetajwa kuwa na uwezo wa kucheza nafasi zaidi ya mbili uwanjani ikiwa ni kiungo mkabaji na kiungo wa kata alitambulishwa rasmi Januari 6 kujiunga na Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Abdelhack Benchikha….
USAJILI wa dirisha dogo unaendelea ambapo kuna wachezaji waliotambulishwa mitaa ya Kariakoo kwa Yanga na Simba. Ikumbukwe kwamba Yanga walikuwa wa kwanza kuanza utambulisho walipomtambulisha kiungo Shekhan Ibrahim kisha Simba walifuata kwa kumtangaza Saleh Karabaka. Kuna orodha ya wachezaji ambao wataachwa kabla ya dirisha la usajili kufungwa.
Huu ni mwaka wa hela tu ukiwa na Meridianbet basi umechagua kushinda kila siku, Cheza Kasino ya Mtandaoni bila hofu yeyote ya kupoteza na endapo itatokea umepoteza tiketi yako unapatiwa rejesho la 10% ya pesa yako. Jisajili na Meridianbet ufurahie bonasi hii. Meridianbet imekuwa ikitoa bonasi kibao kama mizunguko ya bure, Bonasi ya ukaribisho kwa…
Usiku wa leo moto utawaka katika dimba la Al-Awwal nchini Saudia Arabia ambapo itapigwa derby ya Madrid ambapo klabu ya Real Madrid itakipiga dhidi ya mahasimu wao klabu ya Atletico Madrid katika mchezo wa Spanish Super Cup. Mtanange huu licha ya kua mkali na wenye kuburudisha lakini Meridianbet hawatakuacha kinyonge, Kwani kupitia kipute hichi wamehakikisha…
NYOTA wa Mlandege FC kwake ni kicheko baada ya dakika 90 Januari 9 2024 kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali dhidi ya APR alipokomba milioni moja. Wakati akiwa kwenye furaha ya kukomba mkwanja huo anasubiri mshindi kwenye mchezo wa nusu fainali kati ya Simba ama Singida fountain Gate hatua ya nusu fainali unaotarajiwa kuchezwa…
KOCHA Mkuu wa Simba, Mualgeria, Abdelhak Benchikha, amewasilisha jina la kiungo wa zamani wa Paide Linnameeskond ya nchini Estonia, Babou Cham raia wa Gambia kwa ajili ya kuwa mbadala wa Clatous Chama. Benchikha tayari amewasilisha orodha ya wachezaji anaowahitaj kwa ajili ya kuongezwa katika dirisha dogo kati ya hao, yupo kiungo mkabaji Babacar Sarr aliyetambulishwa…
Klabu ya Chelsea wanakuja vizuri siku za karibuni kutokana na kushinda michezo kadhaa mfululizo jambo ambalo limekua nadra kwa klabu hiyo sio msimu huu tu bali kwa misimu miwili ya hivi karibuni. Unaweza kusema Chelsea wameanza kuja taratibu kutokana na hali yao katika ligi kuu ya Uingereza msimu, Hivo wao kupata matokeo ya ushindi mfululizo…