MRITHI WA MIKOBA YA BALEKE ANA BALAA HUYO

MRITHI wa mikoba ya mshambuliaji, Jean Baleke ambaye anaondoka akiwa namba moja kwenye utupiaji ndani ya ligi akiwa katupia mabao 8, Michael Fred ana balaa kutokana na rekodi zake. Ni Michael Fred raia wa Ivory Coast anatajwa kubeba mikoba ya Baleke ambaye hatakuwa ndani ya kikosi cha Simba kwa msimu wa 2023/24 kwenye mechi zilizobaki…

Read More

MKALI WA KUCHEKA NA NYAVU HUYU HAPA AFCON

KAZI kubwa inaendelea kwenye michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2023 kutokana na kilatimu kuonyesha ushindani mkubwa uwanjani. Ipo wazi kwamba wenyeji Ivory Coast mwendo wameumaliza huku mashabiki wakiwa na hasira kutokana na timu hiyo kushindwa kuwa kwenye ubora ambao walikuwa wakiutarajia mwisho wa sio misha lazima yaendelee. Kuna nyota kibao waliopo ndani ya…

Read More

IVORY COAST NI DARASA TUJIFUNZE

KAMA ungekuwa hapa Abidjan ungeweza kunielewa, hakika ni zaidi ya msiba. Nilifika hapa kutokea San Pedro kwa nia ya kuwaona wenyeji lakini wametolewa. Wakati tukiingia Abidjan, bendera na jezi za wenyeji zilitamba kila sehemu na ilionekana kupoteza haikuwasumbua au kuwakatisha tamaa. Wamepoteza kwa mabao manne na kutolewa, hakika ni zaidi ya MSIBA na ukiwaona walivyo…

Read More

AMEPEWA MECHI MBILI NYOTA MPYA YANGA

IKIWA ni ingizo jipya ndani ya kikosi cha Yanga,mshambuliaji Joseph amepewa mechi mbili na Kocha Mkuu Miguel Gamondi kwa leng la kuimarisha uwezo wake pamoja na kuongeza muunganiko pamoja na wachezaji wengine ndani ya kikosi hicho ambacho kinapambana kutetea taji lake la ligi. Ipo wazi kwamba msimu wa 2022/23 ni Yanga ilitwaa ubingwa na msimu…

Read More

IHEFU WAPO KAMILI GADO

KUTOKA Mbeya ulipo Uwanja wa Sokoine kwa majirani zao Mbeya City na Tanzania Prisons amba hutumia kwa mechi za nyumbani wao wapo Mbarali ambapo hutumia Uwanja wa Highland Estate kwa mechi za nyumbani. Hawa ni Ihefu wapo kamili gado kuelekea mechi zijazo za ushindani ili kupata matokeo mazuri kutokana na kutokuwa na mwendo mzuri kabla…

Read More

KHALID AUCHO AMEONGEZEWA DOZI YANGA

KIUNGO wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga, Khalid Aucho ameongezewa dozi na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ikiwa ni malengo ya kumuongezea uimara wake sambamba na mshambuliaji, Clement Mzize. Gamondi anaendelea kuwapa mbinu wachezaji wa Yanga kwa ajili ya mechi za kitaifa na kimataifa baada ya kupishana na Kombe la Mapinduzi 2024, huku nyota wengine…

Read More

Ingia Meridianbet Usuke Mkeka Wako Leo

  Kupiga maokoto ni rahisi sana endapo utabashiri na meridianbet leo hii, mechi zipo kibao sana kuanzia hizi za AFCON na zingine kibao. Ndoto yako inaweza kutimia leo hii ukituliza kichwa chako vizuri. Nigeria leo hii watakuwa wakimenyana dhidi ya Guinea Bissau huku timu zote zote zikihitaji ushindi wa maana ili kujiweka kwenye nafasi nzuri…

Read More

WAKATI UNAKUJA KULINDANA UWANJANI MUHIMU

MUDA uliopo kwa sasa katika mapumziko ni kufanya kazi kubwa kwa ajili ya kupata matokeo kwenye mechi zijazo huku kila mchezaji akifanya tathimini ya kile ambacho alikifanya uwanjani. Bado vita ni kubwa kwenye upande wa timu ambazo zinasaka ushindi hilo lipo wazi na litaendelea kuwa hivyo pale ligi itakaporejea kwa mara nyingine tena. Licha ya…

Read More

VITA YA GAMONDI YANGA IPO HAPA

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga hesabu zake kubwa kwa sasa ni kufanya vizuri kwenye mashindano makubwa matatu ambayo wanashiriki baada ya Mapinduzi 2024 kugota mwisho. Ipo wazi kuwa Yanga iligotea hatua ya robo fainali Mapinduzi 2024 ubingwa ukibaki kwa mara nyingine mbele ya Mlandege waliupata ushindi wa bao 1-0 Simba kwenye mchezo wa fainali…

Read More

BEKI HUYU BADO YUPO SANA YANGA

BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi bado yupo ndani ya kikosi hicho baada ya kuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo. Beki huyo wa kupanda na kushuka alikuwa nje kwa muda baada ya kupata maumivu kwenye mchezo dhidi ya Al Ahly ya Misri lakini kwa sasa tayari…

Read More

DR CONGO NGOMA NZITO MBELE YA MOROCCO

TIMU ya taifa DR Congo imelazimisha sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Morocco katika mchezo wa Kombe la Mataifa Afrika, Januari 21. DR Congo ina wachezaji wawili wanaoitambua Ligi Kuu Bara ikiwa ni pamoja na Fiston Mayele aliyewahi kucheza Yanga na Henock Inonga anayekipiga Simba. Morroco walipachika bao kupitia kwa Achraf Hakim mapema kabisa…

Read More