


HIVI NDIVYO CHAMA ALIVYOKWAMA SIMBA
KIUNGO wa Simba, Clatous Chama amekwama mazima ndani ya Simba kuifikia rekodi yake ya kuwa namba moja katika kutengeneza pasi za mwisho ndani ya ligi kwa msimu wa 2023/24. Ikumbukwe kwamba Chama raia wa Zambia msimu wa 2022/23 alikuwa ni namba moja kwa wakali wa pasi za mwisho alipotoa jumla ya pasi 14 na kufunga…

DIRISHA LA USAJILI (FIFA CONNECT) MSIMU WA 2024/2025 KUFUNGULIWA KESHO
Dirisha la Usajili (FIFA Connect) kwa Klabu za Ligi Kuu ya NBC (NBCPL), Championship League (CL), First League (FL) na Ligi Kuu ya Wanawake (TWPL) msimu wa 2024/2025 linafunguliwa kesho Jumamosi Juni 15, 2024 na litafungwa Agosti 15 2025. Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF limezitaka Klabu kufanya usajili na uhamisho wa wachezaji huku…

YANGA KUJA NA JAMBO HILI KUBWA
JAMBO lingine kubwa linakuja kutoka kwa Yanga mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 wakidhaminiwa na kampuni ya SportPesa. Jambo hilo ni uzinduzi wa kitabu cha Yanga kinachotarajiwa kuzinduliwa Jumamosi Juni 15 uongozi wa Yanga umebainisha kwamba umekusanya mengi ya muhimu bila kuacha chochote. Ipo wazi kwamba kwa msimu wa 2023/24 Yanga imetwaa taji…

SHINDA ZAWADI KIBAO UKIBASHIRI KWA USSD EURO HII
Ndugu mteja je unajua kuwa unaweza kujishindia zawadi kibao kwenye michuano hii ya EURO 2024 na COPA AMERICA?. Piga *149*10# ubeti na kitochi mechi zote ili uweze kujiweka kwenye nafasi ya kuwa mshindi leo hii. Unaweza kuwa tajiri na promosheni maalumu kabisa kwaajili ya michuano mikubwa ya EURO pamoja na COPA AMERICA ambayo inaanza kutimu…

MTAMBO WA KUVUNJA REKODI BONGO AZIZ KI
MWAMBA Aziz Ki ni mtambo wa kuvunja rekodi ndani ya kikosi cha Yanga kutokana na kasi yake kuwa kwenye mwendelezo bora wakati wote kwenye mechi za Ligi Kuu Bara. Ikumbukwe kwamba aliibuka Yanga akitokea ASEC Mimosas ya Ivory Coast msimu wa 2022/23 ambapo alikuwa akitajwa pia kuwaniwa na Simba inayonolewa na Juma Mgunda. Ki aliyetambulishwa…

JEMBE AZUNGUMZIA MKATABA WA JOBE NA MANGUNGU KUSAJILI
LEGEND kwenye masuala ya uandishi wa Habari Bongo, Saleh Jembe ameweka wazi kuwa ikiwa Mangungu ataachiwa suala la usajili inaweza kuwa ni mzigo mzito zaidi kwake akibainisha kwamba kwa sasa Simba wanahitaji marekebisho ya timu yao na wapunguze maneno mengi zaidi wafanye kazi kwa ushirikiano zaidi. Ameweka wazi kuwa kati ya timu ambayo imeongoza kwa…

EXPANSE TOURNAMENT SHINDANO LA UTAJIRI NDANI YA KASINO
Mamilioni ya Meridianbet Kasino ya Mtandaoni yapo yanakusubiri, ile promosheni ya Expanse Tournament sasa mzigo unaongezeka, washindi 40 kujipatia mgao wa Tsh 4,750,000/=, Jisajili Meridianbet uwe moja ya washindi wa bonasi za kasino na zawadi kibao. Shindano la Expanse Meridianbet litatoa zawadi na bonasi za kasino kwa washindi 40 pekee, ambao watakuwa na alama nyingi…

MKUTANO WA MASHABIKI WA SIMBA GWAMBINA WAPIGWA STOP
Kwasababu za kiusalama mkutano umezuiliwa na siyo halali mnashauriwa kufuata taratibu za club ya Simba

KOCHA WA BORUSSIA DORTMUND ERDIN TERZIC ATANGAZA KUONDOKA
Kocha mkuu wa klabu ya Borussia Dortmund Erdin Terzic ametangaza kuondoka klabuni hapo rasmi. Msimu wa 2023/24 haukuwa wa mafanikio kwake kwa maana ya kubeba vikombe lakini amewaacha na kumbu kumbu ya Fainali ya UEFA baada ya miaka 11

LIVE BUNGENI: WAZIRI MWGULU ANAWASILISHA MAKADIRIO NA MATUMIZI YA BAJETI KUU YA SERIKALI 2024/2025
Serikali imesema bajeti ya mwaka wa fedha 2024/2025 imelenga kutekeleza vipaumbele vitakavyojikita katika kujenga uchumi shindani na viwanda kwa maendeleo ya watu” pamoja na mpango wa maendeleo wa taifa wa mwaka 2024/25. Akiwasilisha bajeti hiyo bungeni Dodoma, Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba ameyataja maeneo ya vipaumbele yaliyoainishwa katika mpango huo kuwa ni pamoja na…

WAZIRI WA FEDHA ATHIBITISHA KUTUMIKA KWA VAR KWENYE LIGI KUU
Akisoma Bajeti ya Fedha 2024/25 Waziri Wa Fedha Dr. Mwigulu Lameck Nchemba amethibitisha kutumika kwa VAR kwenye Ligi kuu lakini pia ameomba kusiwepo na Kodi Kwa vifaa vya VAR.

JEMBE AIKOSOA BAJETI YA YANGA NA KUTOA USHAURI KWA VIONGOZI NA WANACHAMA
LEGEND Jembe amezungumzia suala la mapato na matumizi ya Yanga, mapato na matumizi pamoja na deni ambalo lipo kwa Yanga huku akibainisha kuwa sio jambo zuri lakini mafanikio yamepatikana. Jembe amebainisha kuwa kuna haja ya kuziendesha timu kwa mfumo wa biashara ambacho kinapaswa kurekebishwa na zikifanyiwa kazi zitawapa faida Yanga.

JUVENTUS YAMTEUA THIAGO MOTTA KUWA KOCHA MPYA
Klabu ya Juventus ya Serie A imethibitisha kumteua mkufunzi Thiago Motta kuwa kocha mkuu klabuni hapo kwa mkataba wa miaka mitatu mpaka Juni 2027. “Ninayo furaha kuanza ukurasa huu mpya katika klabu bora kama Juventus, asante kwa imani yenu na ninaweza kuhakikisha nitajitolea kuwafanya mashabiki wa Juventus wajivunie”. — Mota Mota (41) raia wa Italia…

MANGUNGU: ISSA MASOUD HANA MAMLAKA YA KUITISHA MKUTANO
“Sisi tunajuana tangu tunakua , haiwezekani mtu ambaye hana nasaba na Simba akawa ndani ya klabu , mimi nimepata kadi yangu ya uwanachama mwaka 1993” “Niulize sasa , Kwahiyo tangu mwaka 1993 tuseme nilijipanga nije kuwa mwemyekiti wa Simba ili nije kuihujumu ? anayenishutumu mimi nahujumu Simba yeye hata kadi ya uanachama hana” Wakati anajibu…

MANGUNGU: MO DEWJI NI MWANASIMBA JASIRI
Mwenyekiti wa Simba Murtaza Mangungu amewajibu Wanasimba wanaodhani kuwa hana maelewano na Mwekezaji Mo Dewji kuwa “Nani kawaambia? Anasema hana chuki na Mo Dewji na kuongeza kuwa anayemsimanga Mo siyo mwana Simba ni kiumbe kingine, “Mimi simchukulii Mo kama muwekezaji pekee, namchukulia kama mtu jasiri ambaye anatumia nguvu na pesa zake kuisaidia Simba, hata hiyo…

MKONGWE WA MPIRA WA KIKAPU JERRY WEST AFARIKI DUNIA
Mkongwe wa mpira wa kikapu wa Marekani Jerry West (86), amefariki dunia. West alicheza mpira huo kwa miaka 14 na kucheza katika fainali 9 za NBA chini ya timu ya Lakers ya Los Angeles, na kushinda mara moja mwaka 1972. West atakumbukwa kwa umahiri wake na zaidi kwa alama ya kudumu aliyoiacha kwenye nembo ya…