
MATAIFA MATATU KUAMUA KARIAKOO DABI, SHEREHE ZA UBINGWA JUNI 25
JUNI 25 2025 sherehe za ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara zinatarajiwa kufanyika Uwanja wa Mkapa mara baada ya mchezo wa Kariakoo Dabi, Yanga SC vs Simba SC kutamatika. Kwa mujibu wa Karim Boimanda, Ofisa Habari wa Bodi ya Ligi Tanzania, (TPLB) ameweka wazi kuwa mara baada ya mchezo huo kutamatika kutakuwa na sherehe za…