
FOUNTAIN GATE WATUMA UJUMBE HUU BLACK STARS
ISSA Liponda, maarufu kama Issa Mbuzi, Ofisa Habari wa Fountain Gate ameweka wazi kuwa watawanyamazisha wapinzani wao Singida Black Stars katika mchezo wa Ligi Kuu Bara. Oktoba 25 Fountain Gate itakuwa Uwanja wa Liti kusaka pointi tatu mbele ya Singida Black Stars unaotarajiwa kuchezwa saa 8:00 mchana na utakuwa mubashara Azam TV. Ipo wazi kuwa…