YANGA KUWAFUATA WAARABU WA MISRI
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa upo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AL Ahly ya Msiri unaotarajiwa kuchezwa Machi Mosi 2024 huku wakiwa kamili gado kuwafuata wapinzani wao kwenye mchezo huo. Ali Kamwe ambaye alipata changamoto ya kiafya muda mfupi baada ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa…
HIVI NDIVYO SIMBA INATINGA ROBO FAINALI
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa Jwaneng Galxy wapinzani wao wanawaheshimu lakini wamekuja katika hatua mbaya wataacha alama tatu na Mnyama anakwenda hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika.
AZAM FC WANAJIPANGA UPYA HUKO
MATAJIRI wa Dar, Azam FC wanajipanga upya kurejea kwenye ushindani baada ya kukosa matokeo kwenye mechi za hivi karibuni ndani ya Ligi Kuu Bara. Kocha Mkuu wa Azam FC ameweka wazi kuwa mpango mkubwa kwenye mchezo wao dhidi ya Tabora United pamoja na mchezo wao dhidi ya Tanzania Prisons lakini ilishindikana kutokana na ushindani kuwa…
SIMBA YATANGAZA HALI YA HATARI, KAZI NGUMU WANAZIMUDU
WAKIWA kwenye maandalizi ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng uongozi wa Simba umebainisha kuwa maandalizi yapo vizuri na imani kubwa ni kupata ushindi wa aina yoyote kukamilisha mpango wa kutinga hatua ya robo fainali Ligi ya Mabingwa Afrika
HESABU ZA YANGA KIMATAIFA ZIPO HIVI
MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema bado kazi haijaisha kwenye mechi za kimataifa hivyo wataendelea kufanya maandalizi kuwa imara kwa mechi zinazofuata. Yanga ni timu ya kwanza kwenye ardhi ya Tanzania kutinga hatua ya robo fainali ikiwa na mchezo mmoja mkononi huku watani zao wa jadi Simba wakiwa na kibarua Machi 2 kutambua hatma…
SIMBA YAPANIA KUWAFUNGA JWANENG KUTINGA ROBO FAINALI
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa mpango mkubwa kwenye mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy ni kupata ushindi mkubwa. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema kuwa wanatambua umuhimu wa mchezo huo hivyo watapambana kupata ushindi. Tayari kikosi cha Simba kimerejea Dar baada ya kumalizana na…
SIMBA YATANGAZA VIINGILIO MECHI YA JUMAMOSI DHIDI YA JWANENG KWA MKAPA
“Tarehe 2 ya mwezi wa tatu tunakwenda kushinda tena ushindi wa kihistoria na kwenda robo fainali. Jwaneng tunamheshimu lakini amekuja wakati mbaya.” “Tiketi zimeshaanza kuuzwa na niwakumbushe Wanasimba rekodi zote ambazo tuliziweka, ziliwekwa na Wanasimba wenyewe. Wakati tunamfunga AS Vita mara 2, wakati tunamfunga Horoya mabao 7 ushindi wote ulitokana na mashabiki wa Simba. Ili…
AHMED ALLY AMSHANGAA KAMWE KUZIMIA KISA GOLI 4 – ”SIMBA TUSHAMFUNGA MTU GOLI 7”…
“Mechi dhidi ya Jwaneng Galaxy itachezwa Jumamosi Machi 2, 2024 saa 1:00 usiku. Licha ya mapendekezo yetu kucheza mechi saa 10:00 jioni lakini CAF wameamua iwe saa 1:00 usiku ili michezo yote iwe muda mmoja.” “Kikosi kimerejea nchini na leo jioni tutaanza rasmi mazoezi kujiandaa na mchezo Jwaneng Galaxy na mchezo wa ASFC dhidi TRA…
WAARABU WAKISANDA SIMBA WAKUBALI MUZIKI WA YANGA
WAARABU wa Algeria kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hawakuwa na ujanja walipotulizwa kwa mabao 4-0 dhidi ya Yanga mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa jambo ambalo limeipa nafasi Yanga kutinga hatua ya robo fainali.
MAJOGOO WASEPA NA KOMBE MUUAJI ACHEKELEA VIJANA
KLABU ya Liverpool imetwaa ubingwa na wa Carabao kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Chelsea Uwanja wa Wembley. Katika dakika 90 za mwanzo ngoma ilikuwa ngumu wakati Liverpool ikicheza bila ya uwepo wa mshambuliaji wao nyota Mohamed Salah ambaye bado hajawa fiti. Beki wa kazi ngumu Virgil van Dijk alifunga bao pekee la ushindi kwenye…
UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU
Soma Gazeti la Championi kwa urahisi mtandaoni kupitia Global App: https://globalapp.co.tz Au M-Paper: https://rifaly.com/newspaper/199837/Champion%20Jumatatu
AZAM FC NGOMA NZITO, MASHUJAA WAKOMBA DHAHABU
MATAJIRI wa Dar, Azam FC wameambulia pointi moja ugenini kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons ikiwa ni mzunguko wa pili. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Sokoine umesoma Tanzania Prisons 1-1 Azam FC. Ni Samson Mbangula alianza kupachika bao mapema dakika ya 5 likawekwa usawa na Fei Toto dakika…
SIMBA AKILI ZOTE KWA JWANENG
SELEMAN Matola, kocha msaidizi wa Simba amesema mpango mkubwa kwa sasa ni kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy. Ipo wazi kwamba mchezo uliopita wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundiilishuhudia ubao ukisoma ASEC Mimosas 0-0 Simba. Ndani ya msako wa pointi tatu wababe hao wote wawili waligawana pointi mojamoja…
YANGA YAKOMBA MILIONI 20 KISA WAARABU
YANGA wameandika rekodi ya kutinga hatua ya robo fainali kwa ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya wapinzani wao CR Belouizdad mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa. Ushindi huo umewapa fursa Yanga chini ya Kocha Mkuu Miguel Gamondi kuwa timu ya kwanza kutinga hatua ya robo fainali kwa Tanzania huku Simba ikiwa na kibarua cha kusaka ushindi…
MUDATHIR BALAA LAKE ACHA KABISA
MWAMBA Mudathir Yahya ndani ya uwanja kasi yake imekuwa kubwa ndani ya uwanja kwa kufanya kazi kubwa katika kutimiza majukumu yake kitaifa na kimataifa