RAIS WA AWAMU YA PILI WA TANZANIA, ALI HASSAN MWINYI KUZIKWA MACHI 2 VISIWANI UNGUJA
MWILI wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi, unatarajiwa kuzikwa tarehe 2 Machi 2024, mjini Unguja. Ratiba ya mazishi ya marehemu Mwinyi imetangazwa leo tarehe 29 Februari 2024 na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, akitangaza kifo chake. “Kwa niaba ya Serikali ninatoa pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki na Watanzania…