
SIMBA SC VS RS BERKANE MEI 25 2025, KIKOSI HIKI HAPA
SIMBA SC chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids ina kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya RS Berkane mchezo wa fainali ya pili Kombe la Shirikisho Afrika, Mei 25 2025, Uwanja wa New Amaan Complex. Mchezo wa kwanza Simba SC ilipoteza kwa kufungwa mabao 2-0 hivyo kazi yao kwenye kutwaa ubingwa ambao RS Berkane wanahitaji ni…