Mechi Kali za Leo: Arsenal, Barcelona, Napoli na Como Kukiwasha leo
Mechi kali zinatarajiwa kupigwa siku ya leo, viwanja vingi kupamba moto huku nafasi ya wewe kuondoka na ushindi ikiwa wazi wazi kabisa. Arsenal, Napoli, Como na wengine wanakungoja sasa. Uingereza EPL, nayo kuna mechi kibao lakini sisi tutajikita zazidi kwenye mechi ya vinara wa ligi Arsenal dhidi ya Fulham ambapo hii ni moja ya mechi…