
YANGA YAWAITA MASHABIKI KIMATAIFA
NAHODHA wa Yanga, Bakari Nondo amesema kuwa matokeo yaliyopita kwenye mechi za ligi hayajawaondoa kwenye reli hivyo watapambana kupata matokeo kwenye mchezo ujao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Hilal ya Sudan. Yanga kwenye mechi mbili za ligi mfululizo ambazo ni dakika 180 ilipoteza ilikuwa Yanga 0-1 Azam FC kisha kete ya pili…