
Huku Simba, Kule Leicester City Wote Kukupatia Pesa Leo
Kama tunavyojua Ijumaa ikifika ujue na pesa nazo zinaanza kunukia haswa ambapo kuanzia kule Ujerumani hapa nyumbani Tanzania, Ufaransa na kwingineko leo hii kuna mitanange ya kukata na shoka. Bashiri mechi hizi na Meridianbet sasa. Tukianza na Ujerumani leo BUNDESLIGA kutawaka moto haswa kati ya FSV Mainz dhidi ya Borussia Monchengladbach ambao walishinda mechi yao…