
GOD IS GOD, YANGA YATEMBEZA 5 G
MUNGU ni mwema kila wakati ni ujumbe wa kiungo mshambuliaji wa Yanga Maxi Nzengeli ambaye alikuwa nje kwa muda kutokana na kutokuwa fiti na amerejea uwanjani Januari 25 2025 akitupia bao moja dhidi ya Copco FC raundi ya tatu CRDB Federation Cup. Baada ya dakika 90 Ubao wa Uwanja wa KMC, Complex umesoma Yanga 5-0…